Ni jambo gani ambalo serikali ya awamu hii sijuhi ya sita au saba imeliagiza/kulifuatilia na likatekelezwa? Anzia ule mzigo wa cocaine tani moja, wezi wa mafuta waliotoboa bomba na kujiunganishia kama maji, tozo za simu, bei ya gesi ya kupikia, nk, nk....