Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Huwezi kopa NMB 8M kwa 5 years alafu ukarudisha 15M ( principle plus interest) hata kama riba ingekuwa 21 percent. Naongelea based on uzoefu na uhalisia wa kimahesabu.Hata kama ni chumvi,this is too muchNchi hii hamna bank yenye undugu au ujamaa kakitka ukopeshaji
Nilikopa bank 8 ml nkalipa m15 siwezi kuwasahu nmb kamwe
Yan hata riba ingekuwa 25percent,hayo marejesho kwa NMB kwa 5years ni uwongo mtupuRiba ilikua % ngapi?
Mkopo ulikua wa muda gani?
Asilimia Kumi Ya MamaBado
Stanbic 14%
Duh,Ni jambo gani ambalo serikali ya awamu hii sijuhi ya sita au saba imeliagiza/kulifuatilia na likatekelezwa? Anzia ule mzigo wa cocaine tani moja, wezi wa mafuta waliotoboa bomba na kujiunganishia kama maji, tozo za simu, bei ya gesi ya kupikia, nk, nk....
Swali la msingi sana-Ingawa hata data za interest alizoleta hapa ni uongo mtupu-Ni mjinga pekee anayeweza kumwamini 🤣 🤣wewe ukimkopesha mtu million hizo kwa miak saba unadhni utataka mhusika akurudihie sh ngapi
Imeanza lini hiyo?Equity ni asilimia 12 kama ni mteja mpya