Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Nipe chama mmbadala na nitajie at least watu 20 watakaounda baraza lao la mawaziri!.
Mpaka leo naamini hamna chamba mmbadala wa CCM. Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM na sio nje.
Wewe utakuwa waziri wa mambo ya nje; so tunaanzia hapa; au hujiamini? any one can be a waziri au kuna kozi yake; hiyo spin ya kizamani sana hiyo; mwambie na jirani anaweza kuwa ndiye Meya ila sio meya wa CCM etc