Kulingana na mkataba -IGA ni kwamba DP WORLD watapossess Ardhi sio ku own nikaangalia maana ya haya maneno mawili
1 Own land - indicate that land belongs to a particular person or group .
2.Posses land -control or occupancy of land without regard to ownership .
Kwa katiba yetu Kama nimeielewa vizuri Ardhi ni mali ya Serikali/Umma na imekabidhiwa kwa Rais kwa niaba ya watanzania wote na serikali inaweza ihitaji muda wowote kwa Manufaa ya Umma .
Kwa Maelezo hayo ya maana na Sheria ya Ardhi je sisi wazawa tuna possess au ni owner ?
Na tuna tofauti gani na huo uhakika wa umiliki tunaowapa DPW katika umiliki wa Ardhi ya Umma ?
1 Own land - indicate that land belongs to a particular person or group .
2.Posses land -control or occupancy of land without regard to ownership .
Kwa katiba yetu Kama nimeielewa vizuri Ardhi ni mali ya Serikali/Umma na imekabidhiwa kwa Rais kwa niaba ya watanzania wote na serikali inaweza ihitaji muda wowote kwa Manufaa ya Umma .
Kwa Maelezo hayo ya maana na Sheria ya Ardhi je sisi wazawa tuna possess au ni owner ?
Na tuna tofauti gani na huo uhakika wa umiliki tunaowapa DPW katika umiliki wa Ardhi ya Umma ?