Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 966
- 855
Habari,
Nimeleta huu mjadala kwa kuwa hofu imejengeka miongoni mwetu hasa linapokuja suala la kunywa mchanganyiko wa asali na limao. Wakati nina kua nilipata kusikia haya na ilifika wakati nikila asali basi hata ikipita masaa naogopa kutumia limao kabisa hata likiwa kwenye mboga au kachumbari. Bila shaka wako pia wenye hofu au uwelewa huu. Basi tujadili hili kwa uzoefu kwa pamoja na mwishoni tuweze pata hitimisho la pamoja kuliko kushusha nondo tu.
Haya ndugu zangu tujadili hili.
wapenzi wa picha sijawasahau.
Nimeleta huu mjadala kwa kuwa hofu imejengeka miongoni mwetu hasa linapokuja suala la kunywa mchanganyiko wa asali na limao. Wakati nina kua nilipata kusikia haya na ilifika wakati nikila asali basi hata ikipita masaa naogopa kutumia limao kabisa hata likiwa kwenye mboga au kachumbari. Bila shaka wako pia wenye hofu au uwelewa huu. Basi tujadili hili kwa uzoefu kwa pamoja na mwishoni tuweze pata hitimisho la pamoja kuliko kushusha nondo tu.
Haya ndugu zangu tujadili hili.
wapenzi wa picha sijawasahau.