Je, kuachiwa Uamsho na kukamatwa Mbowe kwa Ugaidi Kuna athari kiimani?

Cabinet ya magu ilikua na waislam 3 tu,na waislamu wala awakulalamika,udini wa rais umekuja baada ya nyinyi wenyewe kumchukulia ni dhaifu,ogopa sana kiumbe mwanamke akiwa na nguvu flan then wewe ukamchukulia dhaifu kutokana jinsia yake,tena mkizidi anamtoa sabaya jela na kumpa ukuu wa wilaya ya hai na kukamata yule mdude nyagali,huyu bibi alikua anasettle vizuri tu nyie wenyewe ndie mliesababisha abadilike
Kwahiyo ana siasa za kukomoana? Mwambieni hatoboi, badala yake atatoboka.
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Aisee umeongea kweli. Kuna kafununu ka kutaka kubalance mambo
 
Atapumzika kwa amani. Acha aendelee kukaza shingo.
Dua la kuku halimpati mwewe....

Baki na maombi yako yasiyofika hapo DARINI by the way ingekuwa kila ombi linakubaliwa basi DUNIA ISINGEKUWA ILIVYO....

Mh.Rais aendelee kuchapa KAZI...Aaamin!

#UkinizinguaNitakuzingua
#KaziInaendelea
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiUtulivuWaJMT
 
Dua la kuku halimpati mwewe....

Baki na maombi yako yasiyofika hapo DARINI by the way ingekuwa kila ombi linakubaliwa basi DUNIA ISINGEKUWA ILIVYO....

Mh.Rais aendelee kuchapa KAZI...Aaamin!

#UkinizinguaNitakuzingua
#KaziInaendelea
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiUtulivuWaJMT
Tulikuonya Jiwe akakaza shingo nini kilimtokea. Mlisema hivyo hivyo mwisho wa siku Mpingo ulianguswa na Shoka butu
 
Kwahiyo ana siasa za kukomoana? Mwambieni hatoboi, badala yake atatoboka.
🤣🤣Umeshashiba KANDE zako unatumia maneno ya MDUDE NYAGALI kumtisha Rais ha ha ha ha ha ha ha

Kesho asubuhi mpelekee VITUMBUA John Pambalu....
 
Tulikuonya Jiwe akakaza shingo nini kilimtokea. Mlisema hivyo hivyo mwisho wa siku Mpingo ulianguswa na Shoka butu
Kipenzi chetu JPM yuko mbele za haki(RIP)...kifo SI ADHABU...

CCM bado ipo...
JMT bado ipo milele....
 
Zipo taarifa kwamba Sasa hivi wanapambana na wachaga lakini pia wanakazana kuwaweka waislamu maeneo nyeti ikiwemo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Nafasi za juu huko zimejazwa kwa msingi wa kubalance dini na hata makatibu wakuu Wana maelekezo wanapopeleka majina lazima liwepo la dini flani ikiwa Ni malalamiko yaliyotokea kipindi kilichopita ambapo wakatholiki ndo walipewa kipaombele.

Tatizo la huu mfumo ni kuokoto yeyote ukampa nafasi, rejea nafasi ya DG wa Takukuru wa Sasa, kilichotumika kumpeleka pale nikukosekana kwa ustaadhi.

Tusubiri teuzi zinazofuata. Hivyo uwezi kutenganisha mapambano dhidi ya watu wa kaskazini kwa sababu sukuma gang bado tupo maeneo nyeti na tunataka kumweka Rais wetu kwa awamu nyingine, lakini pia usipowadhoofisha watu wa kaskazini bado itakuwia ngumu kutawala maana wameshika uchumi.

Hali inavyozidi kuwa mbaya lazima waanze kuchungulia akaunti za wachaga na wahindi kutaifisha Mali. Hii Vita ya Ugaidi na udini ipo na inaunganishwa na ukabila. Sisi wa kusini kuchele, mwakeeye
 
Wewe ni mtu hatari sana,maana unatafuta kwa jinsi yoyote ile kuligawa taifa ama kidini au kwa ukanda kisa Mbowe!
Ila nikwambie mapema kabisa kwamba sisi watanzania siyo wapumbavu.

Mama yetu ameonesha moyo wa kutaka maridhiano na kusema ukweli amejishusha sana.Badala ya Mbowe kuona jambo hili kama grace tu,yeye aliamua kujikuza na kujaribu kutunisha misuli kwa mtu ambaye hakuwa,na nia ya kugombana.
Sasa sijui mlitaka mama yetu ajikunyate kama mnyonge akifuata amri za Mbowe?
Mimi ni mwananchi wa kawaida wala sina interest yoyote na ccm,wala hata ndugu anayefaidika na ccm,kwa namna yoyote sitarajii hata kupata mia moja kutoka ccm au hata serikalini,ila nilichukizwa sana na tabia ya Mbowe kutaka kuanza siasa za kibabe bila sababu.Mbona kwa mbabe Magu aliufyata?Hii nchi acheni jamani ipumue sio kila siku kukinukisha tu
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
 
Wewe ni mtu hatari sana,maana unatafuta kwa jinsi yoyote ile kuligawa taifa ama kidini au kwa ukanda kisa Mbowe!
Ila nikwambie mapema kabisa kwamba sisi watanzania siyo wapumbavu.

Mama yetu ameonesha moyo wa kutaka maridhiano na kusema ukweli amejishusha sana.Badala ya Mbowe kuona jambo hili kama grace tu,yeye aliamua kujikuza na kujaribu kutunisha misuli kwa mtu ambaye hakuwa,na nia ya kugombana.
Sasa sijui mlitaka mama yetu ajikunyate kama mnyonge akifuata amri za Mbowe?
Mimi ni mwananchi wa kawaida wala sina interest yoyote na ccm,wala hata ndugu anayefaidika na ccm,kwa namna yoyote sitarajii hata kupata mia moja kutoka ccm au hata serikalini,ila nilichukizwa sana na tabia ya Mbowe kutaka kuanza siasa za kibabe bila sababu.Mbona kwa mbabe Magu aliufyata?Hii nchi acheni jamani ipumue sio kila siku kukinukisha tu
Asiwe mtu hatari anayebambikiza kesi watu awe hatari mtu anayelalamikiwa Ubinywaji wa haki?
 
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.

Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?

Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?

Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Tulia wewe mchumba! Masheikh wamekaa jela miaka nane mlikua mkicheka tu, Mbowe hata wiki hajamaliza mshaanza kuwashwa, Halafu haya mambo Ukaskazini yameingaje hapo. (Achana na propaganda eti "upeo" yaani unaamini kwamba wachaga wana upeo zaidi ya Watanzania wengine?).
 
Back
Top Bottom