Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Naona mitandaoni suala la Ugaidi limechukua sura mpya ikionekana wapo watu wanataka kuonyesha kwamba imani ya kiislam na kikristo zote zinaweza kuzalisha ugaidi. Kwamba mwanzo kwenye uhamsho walihusishwa waislam na Sasa kuonyesha kubalance story Basi mbowe naye atapelekwa Magereza kwa Ugaidi.
Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?
Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?
Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?
Je wewe unaamini Mbowe anaitwa Gaidi kwa sababu za kidini na watawala walioshika usukani au ni suala la kisiasa tu? Kwanini uhamsho waachiwe kwa kubambikiwa kesi za ugaidi kwa miaka 8 na Mamlaka hiyo hiyo imkamate mtu ambaye ukweli upo wazi kuwa siyo gaidi kwa ugaidi? Kama siyo kisasi Cha kidini kilichoingizwa kwa siasa ni wapi zilipoibuliwa tuhuma hizi?
Ikumbukwe zipo pia tuhuma zakuwafanya watu wa Kanda flani kutokuwa na Uhuru wa biashara na kuwataifisha Mali zao kitendo kilichofanywa na awamu iliyopita. Je, huko kaskazini wanaadhibiwa kwa upeo wao, mafanikio yao au wanaadhibiwa kwa sababu? Utakatishaji fedha, mauaji na Sasa tumeanza kuwaita magaidi Nini shida na watu Hawa dhidi ya Tawala za nchi hii?
Haya nimeandika maana naona ndiyo yanayojadiliwa mitandaoni na hayana afya. Hata Kama tukikaa kimya lakini hao watu wa kaskazini tunavyozidi kupambana nao huku tukijua wameoa na kuolewa kila familia tunaweza zalisha chuku kwenye familia zetu wake zetu au waume zetu na watoto wakaanza kulipizana visasi. Tusiuone huu mjadala wa ukandamizaji kwa wepesi Sana watu wate wanapaswa kuliwaza kwa upana wake. Someni watu wanavyounganisha tukio hili na UDINI, UKABILA NA SIASA then mlipambanue kwa upana huu hasa viongozi wakuu wa nchi. Don't simplfy this issues , mmetumia hizi mbinu toka JK akiwa madarakani Hadi Leo lakini tukiri tumepanua hufa na Taifa siyo moja Tena. Kila anayekabidhiwa nchi/wizar/ idara anakuja na visasi vyake tutafika?