07SamsonMartin
Member
- May 31, 2025
- 17
- 6
Habari za muda huu wanajamii forum!
Mimi ni form four leaver 2024 napenda kusomea engineering atah selection nmepangiwa PCM ila sijui Kama mbele itakuwa na maslahi MAKUBWA🤔🤔
Ila nafikuria kusoma diploma ya radiology ambayo ajira yake ni uhakika Kwa upande wangu pia maslahi yake ni mazuri .ila sipo vizuri sana kwenye biology
Naomba ushauri wenu wanajamii forum naamin huku Kuna watu wenye experience kubwa zaidi na kunipa ushauri ulio Bora zaidi.
Naomba kuwakilisha
Mimi ni form four leaver 2024 napenda kusomea engineering atah selection nmepangiwa PCM ila sijui Kama mbele itakuwa na maslahi MAKUBWA🤔🤔
Ila nafikuria kusoma diploma ya radiology ambayo ajira yake ni uhakika Kwa upande wangu pia maslahi yake ni mazuri .ila sipo vizuri sana kwenye biology
Naomba ushauri wenu wanajamii forum naamin huku Kuna watu wenye experience kubwa zaidi na kunipa ushauri ulio Bora zaidi.
Naomba kuwakilisha