Je, Kikwete ni mdini?

wakati nasoma o-level pale Maengo sec - Dodoma, kuna mwalimu (maaraufu - Kifutu - mhaya) aliwahi kula kiapo cha kunifukuza shule au yeye aache kazi. kisa eti mimi ni muislamu. nilikuwa nakaa bweni la Mwenge na kila mara nikienda kuchota maji pale kwake karibu na bweni akinifukuza. alikuwa mwalimu wa A-level na mimi nipo O-level. sasa nikawa najiuliza kwa nini mimi tu? baadae nikagundua kuwa ananichukia kwa vile nilipendelea kuvaa kofia. alifikia mahala akishinikiza nipewe suspension na nikapewa lakini niliappeal na mwalimu TETE akanisimamia na nikashinda na kuendelea na shule. huyu mwalimu alikuwa muumini sana wa kanisa. hiyo ndiyo hali halisi.
hayafai kusemwa haya lakini yamefanyika mengi. mimi nilimsamehe kwani hakujua maana ya mafundisho ya Biblia - mpende adui yako!
tuweni na nia safi mioyoni mwetu na pale penye uovu hata kama unafanywa na muumini au kiongozi wako tusimame kwenye utaifa na uzalendo. nchi hii ni yetu sote. hakuna mwenye haki juu ya mwingine. turejee historia na tuone akina nani walipigania uhuru wa nchi hii. je, sio wale wanaokaa madrasa na kula ubwabwa kama tunavyowabeza sasa?
 
wakati nasoma o-level pale Mazengo sec - Dodoma, kuna mwalimu (maaraufu - Kifutu - mhaya) aliwahi kula kiapo cha kunifukuza shule au yeye aache kazi. kisa eti mimi ni muislamu. nilikuwa nakaa bweni la Mwenge na kila mara nikienda kuchota maji pale kwake karibu na bweni akinifukuza. alikuwa mwalimu wa A-level na mimi nipo O-level. sasa nikawa najiuliza kwa nini mimi tu? baadae nikagundua kuwa ananichukia kwa vile nilipendelea kuvaa kofia. alifikia mahala akishinikiza nipewe suspension na nikapewa lakini niliappeal na mwalimu TETE akanisimamia na nikashinda na kuendelea na shule. huyu mwalimu alikuwa muumini sana wa kanisa. hiyo ndiyo hali halisi.
hayafai kusemwa haya lakini yamefanyika mengi. mimi nilimsamehe kwani hakujua maana ya mafundisho ya Biblia - mpende adui yako!
tuweni na nia safi mioyoni mwetu na pale penye uovu hata kama unafanywa na muumini au kiongozi wako tusimame kwenye utaifa na uzalendo. nchi hii ni yetu sote. hakuna mwenye haki juu ya mwingine. turejee historia na tuone akina nani walipigania uhuru wa nchi hii. je, sio wale wanaokaa madrasa na kula ubwabwa kama tunavyowabeza sasa?

Niliwahi kwenda kuomba kazi pale "Devis & Shetliff" na director Mr. Tony Mwangi baada ya mahojiano ya muda mrefu akaniuliza , are you a Muslim? nikajua wazi hapa sipati kazi kwani majina yangu hayakuhitaji swali lile. kweli baada ya muda nikasikia kaajiriwa somebody philip!
 
Na wewe acha story zako za kipuuzi kwanini uwe wewe tu kila unakokwenda inawezekana una gundu hujijui.
 

Kwenye psychology hiyo inaitwa "projection" yaani jambo unalolifanya wewe unadai kwamba linafanywa na mwingine. Kagumyamuheto Hayo mambo unayosema kwa taarifa yako yanafanywa na waislam. Tunasikia sana manyanyaso ya wakristo wa zanzibar, somalia, misri, sudan, nigeria, pakistan, bangladesh, afighanistan, saudi arabia, iraq nk lakini cha ajabu utakisika kila siku kilio cha waislam kuonewa. Mfano mwingine wa projection ni hili la kudai kuwepo udini lakini ukichunguza kwa kina utaona waislam ndo wadini mfano kudai mahakama ya kadhi au Tz kuwa nchi ya kiislam (OIC) wakati siyo watz wote ni waislam. Pia angalia viongozi wakuu wa nchi marais 4 (muungano 2, zanzibar 2), mawaziri wa wizara nyeti (ulinzi, fedha, mambo ya ndani) nk nk. Uislam ni ugomvi na siku zote waumini wake wanatafuta tu sababu za kuhalalisha asili yao ya ugomvi na umwagaji damu. God save Tz from the curse of Islam.
 



ni mdini ndio
 
Unfortunately, your last sentence has also proven you to be a mdini.
 
Tangu nimeanza kusoma post hapa JF, hii ni moja ya post ambazo ni true 100%.
 
Hawa Wakristo ndiyo wagomvi sana wa udini. Wao wanataka kuwatala watu wengine ambao si wakristo kwa kutumia hela za serikali, halafu wanamlaumu JK kwamba ni mdini. BS.
 
kuambiwa ukweli kunauma sana. lakini yote kwa yote hii nchi ni yetu sote. na safari hii jino kwa jino. mguu kwa mguu!.
 
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingebiruka juu chini



kwa sababu serikali ilikuwa inawapa wakiristo pesa,muhimu ni serikali iwafidie waislam pesa ilizowapa hawa wakrsito na kodi yao



Pamoja na yote hata hawa waksristo wakiongozwa na pengo wanapinga nchi kujiunga na oic kwa hoja eti watafaidika waislam wakati wao walikuwa wanaikamua system wanavyotaka


ama kweli waislam wa tanzania wavumilivu
 
Hawa Wakristo ndiyo wagomvi sana wa udini. Wao wanataka kuwatala watu wengine ambao si wakristo kwa kutumia hela za serikali, halafu wanamlaumu JK kwamba ni mdini. BS.

JK ndio mdini ndugu usituzuge! Tactic yake kubwa ni kuingiza mambo ya udini kwenye ILANI za uchaguzi akishashtukiwa anawasingizia wengine kwamba waliyaweka kisha anayatoa na ili kuyafunika mambo hayo anawalaumu watu ASIOTAKA KUWATAJA kwamba ni wadini! Tumeshamstukia na wengi hawatakuwa na imani tena na JK, ie toka 80% hadi 61%!!!!!!!!
 
kama siyo mdini uniambie balaza lake hao 64% ni wakristo wa madhehebu gani!???
 
kuambiwa ukweli kunauma sana. lakini yote kwa yote hii nchi ni yetu sote. na safari hii jino kwa jino. mguu kwa mguu!.

Anayeumia ni JK ambaye alianzisha udini, akaamini utamsaidia kumbe unamwangamiza! Kama bado hajajifunza aendeleze mambo yake ya udini, kaburi lake litakuja kutandikwa viboko na vizazi vijavyo!
 
 
Sokomoko udini hauhesabiwi kwa kuhesabu idadi ya mawazili! udini upo kichwani mwa mtu! JK ni mdini na mbaguzi sana kichwani mwake! yeye ndo alisema kunavyama vya kidini hiyo ni mbegu aliyopandikiza!
 
Yeye kuongelea udini ni mdini.

Unaamanisha hivi? Ila ingekuwa vizuri ukaweka kwa maandishi na sio kujibu kwa kifupi bila fact.
 

Attachments

  • POPOE N JK 2.jpg
    15.2 KB · Views: 56
  • jk2.jpg
    55.1 KB · Views: 59
  • POPE N JK.jpeg
    8.7 KB · Views: 57
Sokomoko udini hauhesabiwi kwa kuhesabu idadi ya mawazili! udini upo kichwani mwa mtu! JK ni mdini na mbaguzi sana kichwani mwake! yeye ndo alisema kunavyama vya kidini hiyo ni mbegu aliyopandikiza!

Ni kweli kuna vyama vya kidini ila vimejivisha sura ya vyama vya siasa rejea mada hiyo hapo juu utajua Makanisa yametumika vipi kufanya chama fulani kuwa na wafuasi wengi wa umini wake. Tumeshuhudia miaka mingi Serikali ikisiwa na Serikali mpaka huyo huyo JK kuitwa "chaguo la Mungu" .

Mfano chama kina viongozi au wanachama mashoga akisema kuna chama cha mashoga mtamwita na yeye shoga?

Msiwe mnachukulia mambo kijuujuu.
 

mwanangu nilisema biashara ya udini hapa tz imefilisika biashara iliyopo ni kati ya walionacho na wasio nacho wewe mwenyewe umekiri kwamba ungepeleka thread hii kwenye dini isingelipa sasa unacho kifanya ni kulazimisha wanunuzi wanunue UR Marketing Mohammad s.a.w for your own NJAA hailipi mwanangu umebaki jibu hoja jibu hoja kama una hoja vile Kama mtoto analilia pipi? nakuuliza kwa jina tu unaweza kumtambua mtu imani yake? maana umesha panga huyu mwislamu huyu mkristo wacha zako hizo!....
 
Nafikiri JK ametumia propaganda ya UDINI ili watanzania tuache kushughulikia mambo ya msingi haswa hili la badiliko la Katiba ambalo baada tu ya kumalizika uchaguzi ilionekana iko haja ya kuanza mchakato wake. Vile vile kutokana na kupungua umaarufu wa JK anatafuta support ya kidini (WAISLAMU) kwa kuwanyooshea vidole wengine. Mara nyingi mambo haya ya kuonewa kutokana na udini huwa yanaanzishwa na waislamu na hii siyo Tanzania tu. Hivyo ndugu zetu waislamu hebu tushulikie mambo ya msingi ambayo yatasaidia kutuletea maendeleo. Wenzetu USA wanafikiria juu ya kuweza kuishi katika sayari ya Mars ifikapo 2080, hebu na sisi tuweke azimio katika jambo fulani kama ifikapo mwaka fulani tuwe na umeme wa uhakika na gharama nafuu.
 

Nadhani hatupo hapa kutishana na dhumuni la thread hii sio kuleta propaganda ila kuweza kuchokonoa udini wa Kikwete ili wanaotatizika waweze kumjudge kweli Kikwete ni mdini. Mathalani unaweza kuleta ushahidi aliwalazimisha watu wavae kanzu za kiislam na kusoma Quraan ili waweze kupata huduma fulani. Au pengine alishawahi kuwa imamu wa msikiti fulani na anapeleka maendeleo kwenye ile sehemu ambayo alikuwa imamu ama amesilimisha watu wa eneo fulani na lilikuwa sharti la kuwapelekea maendeleo. Come with facts tuzipime kusema ni mdini tu haisaidii au kuleta maneno yaliyo nje ya topic haitaleta uelewa wa udini wa Kikwete. Wewe ungekuwa Mod ungetupa BAN Mimi ningekuwa JK ningekupa life pia TAFAKARI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…