Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
CCM is a juggernaut! They (It) will win easily and convincingly. Anybody who thinks otherwise they are deluding themselves. It is going to be a while before CCM can lose in the general election especially the presidency....
Dude, you need to see what is happening on the ground, the guy has lost his legitimacy big time, not leviathan anymore. His party is no longer regarded as the one with divine right. Uchungu wa maisha umewafanya watu wawe na msahaka makaubwa. During the run up to the primaries TISS walikuwa wanahaha kukusanya kura za mheshimiwa, ushindi aliopata kwenye primaries ni TISS walimsaidia si kwamba ana heba tena ndani ya chama na kwa watanzania. Kila mtu anajua kuwa serikali yake ni dhaifu ni ni full wasanii. Sikatai kuwa anaweza kushinda, lakini sio kwa urahisi. It will take a lot of $$$$, sweat, tears and blood, not so easy.