Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,477
Mkuu kwa Tanzania hata sasa bado mambo ni easy tu. Simu moja inaweza kubadilisha matokeo na wananchi wakakaa kimya, bado wengi wetu tumelala. Mfano mzuri ni EPA, wezi wapo wanajulikana lakini mpaka leo wanapeta tena hao hao tumewachagua kwenye kura za maoni kuwa wagombea ubunge kwa chama chetu. It is so easy kuwadanganya watanzania waliowengi kwa kuwa wengi bado hawana uelewa wa nini kinachoendelea. This time CUF walikuwa wamefikia braking point, wanajua kuwa wakiibiwa mara ya tatu ni lazima pachimbike, ndio maana wameogopa kuiba kura.
Huku bara it happens every now and then, and it will keep on happning until wote tukiwa kama watu wa tarime au Zanzibar.
Inawezekana ni easy kuwa fool general population ambao hata hawapati habari, lakini wewe mwenyewe unavyosema "This time CUF wamefikia breaking point..." unaonyesha ugumu wa kuiba kura unapoanzia, you can only steal votes and rig elections so many times in a row.
Sasa mbinu za wizi zinazotumika Zenji si hizo hizo zinatumika bara? Kwa nini CCM wajishtukie Zenji na wasiweze kuwa contained bara? Vyama si vile vile ?
Inabidi wapinzani waweke mkakati ulio well coordinated kuhakikisha hawaibiwi kura. Vyama twawala vinashirikiana hivyo. Mugabe aliomba majeshi kuenda kumfundisha wizi wa kura kutoka Tanzania kina Kingunge wakaenda huko (some say hata January naye alikuwapo katika mchongo huo). Kwa hiyo kama hawa magwiji wanashirikiana katika hili kwa nini wapinzani nao wasiweke mkakati imara ?
Ikumbukwe majuto mjukuu hivyo.