Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie kujibu maswali kadha yanayonisumbua kuhusu katiba mpya.
1-Je katiba mpya ni hisani ya JPM kuamua iendelee au isiendelee?
2-Je JPM kuzuia mchakato wa katiba mpya isiendelee kutekelezwa kama lilivyokuwa limeamua bunge la katiba yupo sahihi kisheria?
3-Je mtu mmoja kuzuia jambo ambalo watu wengi wameridhia lifanyike ni kuwadharau wananchi na kuhisi yeye ni bora na mwenye hekima kuliko watananzia wote.
4-Je JPM anajua kuwa watanzania wametumia muda na pesa nyingi kuhusu mchakato huo?
5-Je mtu asiyeheshimu maamuzi ya mtangulizi wake, wananchi na bunge la katiba tumuiteje au tumueleweje?
Asante naomba tuchangie tusitoleane lugha chafu
1-Je katiba mpya ni hisani ya JPM kuamua iendelee au isiendelee?
2-Je JPM kuzuia mchakato wa katiba mpya isiendelee kutekelezwa kama lilivyokuwa limeamua bunge la katiba yupo sahihi kisheria?
3-Je mtu mmoja kuzuia jambo ambalo watu wengi wameridhia lifanyike ni kuwadharau wananchi na kuhisi yeye ni bora na mwenye hekima kuliko watananzia wote.
4-Je JPM anajua kuwa watanzania wametumia muda na pesa nyingi kuhusu mchakato huo?
5-Je mtu asiyeheshimu maamuzi ya mtangulizi wake, wananchi na bunge la katiba tumuiteje au tumueleweje?
Asante naomba tuchangie tusitoleane lugha chafu