Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,176
huwa sio fan wa makanisa ya kiroho, but Mwakasege yuko level nyingine:
hata kama anahubiri kuhusu pesa; ila anakuwa na back up inayoeleweka, he talks sense mara nyingi.
Kitu nisichoelewa huwa ni kutoa mapepo.
hata kama anahubiri kuhusu pesa; ila anakuwa na back up inayoeleweka, he talks sense mara nyingi.
Kitu nisichoelewa huwa ni kutoa mapepo.
Hapana ilikuwa kabla ya hilo ni wakati wa mahubiri ya jangwani. Mwakasege anaijua vizuri bible so anaona akichomekea maombi ya pesa kupitia hiyo atapata na kweli anapata. Atakapobadilika arudi kufundisha watu neno la Mungu ili waache mabaya ndipo nitamrejelea tena.