naomba kuuliza swali, ni nani alishahudhuria semina akalazimishwa kutoa sadaka? na je hizo spika na umemeo jumlisha viti mnavyokalia mnategemea vinalipiwa kwa pesa kutoka wapiBora wewe umemuelezea vzr
Ila tunarudi pale pale , lengo la hizo semina pia na kupata sadaka full stop