Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Wanajamvi, leo katika pitapita zangu jijini Arusha nimeona Gari likipeperusha bendera ya ccm, na nilipotazama vizuri nikaona Bango kubwa limebandikwa kwanye kioo cha nyuma limeandika - MAGUFULI 2020.
Je ndo kampeni zimeshanza kwa chama hicho au hilo bago lina maana gani?
Je Vyama pinzani vikibandika mabango kama hayo, mf. Lipumba 2020, Mahalim seif 2020, Mkaye 2020 n.k. itakuwa ni kuvunja sheria za uchaguzi?
Nawasilisha
Je ndo kampeni zimeshanza kwa chama hicho au hilo bago lina maana gani?
Je Vyama pinzani vikibandika mabango kama hayo, mf. Lipumba 2020, Mahalim seif 2020, Mkaye 2020 n.k. itakuwa ni kuvunja sheria za uchaguzi?
Nawasilisha