Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 376
- 450
Salaam wanajamvi, Oct 2020 kutakua na uchaguzi mkuu wa kuchagua madiwani, wabunge na Rais wa nchi. Uchaguzi huu ni wa kwanza kwa katibu mkuu na katibu mwenezi toka wateuliwe, ni uchaguzi huu utakaoonyesha uwezo wao wa kupangua na kupanga hoja kwenye mikikimikiki ya kampeni.
Tulizoea kuwaona akina Kinana na Nape walivyokuwa wanapambana. Je, Dkt. Bashiru na Polepole wataweza kuendana na mikikimikiki ya Uchaguzi Mkuu? Nawatakia kila le kheri kwenye Kazi yao.
Tulizoea kuwaona akina Kinana na Nape walivyokuwa wanapambana. Je, Dkt. Bashiru na Polepole wataweza kuendana na mikikimikiki ya Uchaguzi Mkuu? Nawatakia kila le kheri kwenye Kazi yao.