kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Je kupewa posha na tanesco kwa kamati ya mahesabu ya mashirika ya umma ya bunge ni kosa????
Je hili halikuingiliana na interest za tanesco na kuinfluence maamuzi.
Dowans kipimo cha utaifa mwanzo wa uzalendo. Tuvunje katiba na kanuni tumbebe Dowans.Mitambo michakavu itawaka tuu ikifa tutanunua mingine hasara ya muuza karanga faidi ya wanasiasa na wafanyabiashara matepeli na mafisadi.
Kamati ya mahesabu ilikuwapi wapi siku zote isione tunalipa fedha nyingi agreco, iptl, songas nk. kwanini kwa dowans ndiyo ilete shida. Mtetea utawala wa sheria anapotaka sheria zivunjwe anakueleza nini???
Tuache ushabiki tujadili mada.
Je hili halikuingiliana na interest za tanesco na kuinfluence maamuzi.
Dowans kipimo cha utaifa mwanzo wa uzalendo. Tuvunje katiba na kanuni tumbebe Dowans.Mitambo michakavu itawaka tuu ikifa tutanunua mingine hasara ya muuza karanga faidi ya wanasiasa na wafanyabiashara matepeli na mafisadi.
Kamati ya mahesabu ilikuwapi wapi siku zote isione tunalipa fedha nyingi agreco, iptl, songas nk. kwanini kwa dowans ndiyo ilete shida. Mtetea utawala wa sheria anapotaka sheria zivunjwe anakueleza nini???
Tuache ushabiki tujadili mada.
Last edited by a moderator: