sijui kam niseme nilitumia ujana vizur ila vibaya maana watoto ni wengi sana haswa mikoan ambapo ilikuwa route zangu za safar wakat nafanya kazi katika buses za mikoan ambapo wengine kama 5 tayal wanafahamika ila wengine zaid hawafamiki kama wapo SO NINGETUMIA PUMZI YANGU YA MWISHO KUTAJA WATOTO WANGU WOTE NA MHALA WALIPO mf tabora, babati,kigoma, iringa, kahama nk
Weweee ni hii hali ya uchumi ilivyo kwanini uwasamehe...... Waambie familia yako kabisaaa kwamba nnamdai flani na flank kabla roho haijacha mwili.... Kwanini usamehe samehe yule ambae unajua hana uwezo wa kukulipa tuuFORGIVE ALL MY ENEMIES NA VINGINE VINGI SANASANA KUWAUSIA AMANI NA MAISHA MEMA...WADENI WANGU WOTE NINGEWASAMEHE
Trust me kuzimu na jehanam kungekosa wakaziHabari zenu,Kifo ni lazima kwa kiumbe chochote kila kilicho hai na kama tunavyofahamu kifo hutujia ghafla bila taarifa.Wengi wetu tungependa kabla ya Muumba kuchukuwa roho yake basi angetupa taarifa ili tuweze kujiandaa au kuacha wosia kwa familia zetu.
Swali.Kwa mfano Mungu anakupa taarifa kuwa umebakisha masaa24 kufa je jambo gani ungependa kulifanya kabla ya kifo chako?
Duuh umenikumbusha jamaa yule aliyeteswa na Yesu Kule msalabani.Mungu wangu nikumbuke katika ufalme wako utakapo rudi....
kweli aiseeDuuh umenikumbusha jamaa yule aliyeteswa na Yesu Kule msalabani.
Hivi hao wote unawahudumia kweli,?sijui kam niseme nilitumia ujana vizur ila vibaya maana watoto ni wengi sana haswa mikoan ambapo ilikuwa route zangu za safar wakat nafanya kazi katika buses za mikoan ambapo wengine kama 5 tayal wanafahamika ila wengine zaid hawafamiki kama wapo SO NINGETUMIA PUMZI YANGU YA MWISHO KUTAJA WATOTO WANGU WOTE NA MHALA WALIPO mf tabora, babati,kigoma, iringa, kahama nk
hakuna Mungu ila allah
mkuu unamatatizo gan?Ningegegeda mfululizo ikibidi 24hours zote
Pamoja na hayo vitu vyote tutaviacha hapa ulimwenguniWeweee ni hii hali ya uchumi ilivyo kwanini uwasamehe...... Waambie familia yako kabisaaa kwamba nnamdai flani na flank kabla roho haijacha mwili.... Kwanini usamehe samehe yule ambae unajua hana uwezo wa kukulipa tuu