Ma mbwa
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 1,386
- 3,451
Wakuu kama mna kumbukumbu ni kwamba tarehe 6 sept 2025 mamlaka ya mawasiliano iliifungua JF kwa siku 90 kutokana na makosa walioona wao kuwa JF wamekiuka.
Na kwa siku 90 ni kwamba zinaisha kabla ya tarehe 6 DEC.
Je, kwa fukuto hili la Dec 9 mamlaka watairudisha kweli hewani JF yetu pendwa?
Na kwa siku 90 ni kwamba zinaisha kabla ya tarehe 6 DEC.
Je, kwa fukuto hili la Dec 9 mamlaka watairudisha kweli hewani JF yetu pendwa?