Iran alipo zishambulia base za Marekani nchini Iraq Marekani alifanya nn?jamaa base zao nchini Syria zinapasuliwa kila siku na hakuna kitu wanafanya zaidi ya kulalamika tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya hivyo vyombo vya nilivyo vitaja hapo kuna chombo chochote kutoka Kuwait?Kama umesoma utajua kwamba aliyeripoti ni vyombo vya Kuwait au taarifa husomi???
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa.aiza mvivu kufungua link au bando dogo nakuwekewa screenshotKati ya hivyo vyombo vya nilivyo vitaja hapo kuna chombo chochote kutoka Kuwait?
We jamaa.aiza mvivu kufungua link au bando dogo nakuwekewa screenshot
Soma hako kakipande habari kamili soma link hapo juuView attachment 1685302
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm nimeisoma ila ww ndo hujanielewa.We jamaa.aiza mvivu kufungua link au bando dogo nakuwekewa screenshot
Soma hako kakipande habari kamili soma link hapo juuView attachment 1685302
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wangeripoti hao uliowataja ndio propaganda kubwa zaidi kwasababu ni pro Israel na anti ArabsMkuu mm nimeisoma ila ww ndo hujanielewa.
Hicho kijarida ni cha Kuwait ndio na ndio naama nimekwambia habari kubwa kama hiyo unapoona haikuripotiwa na mashirika ya habari kama Aljazera,CNN,BBC,DW,VOA,RT mara nyingi huwa ni uzushi na propaganda.
Ndo watest na Israeli waone kifuatacho... Kila siku Israeli inaua wanasayansi wa iran na iran mwenyewe anajua ma pro iran huko Syria wanachinjwa kila siku lakini hatujasikia hata siku mmoja kulivenge na Israeli pamoja na mbwembwe zote za Iran bado anakuwa fala mbele ya Israeli....Ss hatuna haki ya kuwa na mahaba na Iran ila ww una haki ya kuwa na mahaba na Israel siyo?
Leta hoja achana na mambo ya sijui mahaba, kwa sababu huwezi kunipangia nipende upande upi na nichukie upande upi?
Ebu leta list ya mataifa yenye nguvu za kijeshi duniani mwaka 2020 tuone hiyo Israel yako iko namba ngapi na Iran iko nafasi ya ngapi.
Iran mwaka 2020 imeshika nafasi ya 14 kidunia na ya pili katika eneo la mashariki ya kati baada ya Uturuki ,
wakati Israel imeshika nafasi ya 18 na ya 4 mashariki ya kati imezidiwa hadi na saudia.
Na tangu hizo list zianze kutoka hakuna listi ata moja ambayo Israel ilisha kaa juu ya Iran kwa nguvu za kijeshi.
Juzi tu hapa shirika la SIPRI limetoka kuitangaza Iran kuwa ndio nchi yenye mfumo mkubwa sana wa makombora kuliko taifa lolote mashariki ya kati.
Kiinchi chenyewe kina ishi kwa misaada kama nchi za kiafirika lakini mnavyo kakuza uta dhani ni kinchi cha maana.
Mkuu nadhani unapenda ubishi .Na wangeripoti hao uliowataja ndio propaganda kubwa zaidi kwasababu ni pro Israel na anti Arabs
Sent using Jamii Forums mobile app
We una uelewa mdogo sana yaani hujui hata nn maana ya vita vya mawakara?Ndo watest na Israeli waone kifuatacho... Kila siku Israeli inaua wanasayansi wa iran na iran mwenyewe anajua ma pro iran huko Syria wanachinjwa kila siku lakini hatujasikia hata siku mmoja kulivenge na Israeli pamoja na mbwembwe zote za Iran bado anakuwa fala mbele ya Israeli....
Nikuulize.We jamaa.aiza mvivu kufungua link au bando dogo nakuwekewa screenshot
Soma hako kakipande habari kamili soma link hapo juuView attachment 1685302
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hezbollah walirusha drone anga la Israel.
Wewe ndo unaelewa inatoshaWe una uelewa mdogo sana yaani hujui hata nn maana ya vita vya mawakara?
Kwani mapro America na washirika wake ikiwemo hiyo Israel walipo angamizwa na Russia na Iran nchini Syria Marekani ilifanya nn?
Au Uturuki ilipo liangamiza kundi la kikurdi lililo kuwa likiungwa mkono na Marekani Trump alifanya nn?
Kinacho endelea Syria ni vita vya uwakara kati ya mataifa yanayo iunga mkono serikali na yale yanayo unga mkono waasi.
Kwa hiyo hao wanao shambuliwa na Israel ni mawakara wa Iran ambao ni kutoka mataifa mbalimbali Iran inatoa silaha na fedha tu ndio maana Iran huwa haiyapi uzito hayo mashambulizi.
Hivi una shindwa kujiuliza ya kwamba Israel imeanza kushambulia na kuharibu kile anacho kiita base za Iran tangu 2014 ila haziishi tu mpaka sasa ?
sasa Iran ana hela gani hizo za kujenga base kila siku?
Unaongelea kuuawa kwa wanasayansi
mbona hauongelei wana jeshi na raia wa Israel wanao uwawa na makundi ya Hamasi na Hizibulla yanayo pewa silaha na Iran na Israel anajua kabisa silaha wanazo tumia zina tengenezwa Iran
kwa nn asiende kuvishambulia hivyo viwanda vinavyo tengeneza hizo silaha zinazo uwa raia wake kama kweli yeye ni mwanaume.
Na ukitaka kujua ya kwamba Israel ni mweupe mbele ya Iran jiulize ukanda wa gaza umezingirwa na majeshi ya Israel kila upande lakini bado Iran amekuwa akipenyeza silaha kwenda kwa Hamas na silaha hizo zina tumika kuwauwa hao raia na wanajeshi wake.
Israel mnakuza mno tofauti na uhalisia.
Yaan nchi isiyo weza kuhidumia hata raia wake mpaka ipewe misaada kutoka kwa wagharibi dio unailinganisha na Iran?
KWENYE HABARI INAYOMHUSU IRAN INASOMEKA KUWA SIO YA UHAKIKAPUNGUZENI MAHABA IRAN MWEUPE SANA
Wakiamini walioandika inatosha wewe nani mpaka uamini.... Acha kujipendekeza kwenye vitu ambavyo havikuhusu shwainView attachment 1685628
Walioripoti tu uhakika hawana sasa sisi tuamini vipi
Walioandika ndio hawana imani sasa au kusoma hujui kakaππWakiamini walioandika inatosha wewe nani mpaka uamini.... Acha kujipendekeza kwenye vitu ambavyo havikuhusu shwain
Hiko ni chanzo cha habari cha Israel, ndio maana wamesema "terror group", unachopaswa kujua ni kwamba hizo picha ni za kambi ya Israel, hio footage ni kambi za Israel ndio IDF hawajabisha, na kibaya zaidi ni kwamba IDF walikuwa kwenye military exercise na kulikuwa na ulinzi kuzuia drone yeyote ile toka Lebanon.Mkuu unajua kusoma i guess neno "Hezbollah claims" linamaanisha nini?
Swali la pili Israel wanatoaje video ya kitu ambacho hawakukiona??
Ukiwa na akili Israel watoe footages za maeneo yao yaliyopigwa picha na drones za adui kweli mkuu mahaba yanakupofusha.
Lets come our senses hivi Israel akitumia F35 ni kumpa taarifa Iran?? Juu ya aina ya tech aliyonayo? Israel katangaza kabisa amenunue 50 F35 na kwa tech aliyonayo huwa anazi-customized zifae kwa mazingira yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio habari wanayosema haina uthibitisho, mimi sishangai lakini uthibitisho hakuna, hezbollah wametoa video na picha za kambi za IDF.Walioandika ndio hawana imani sasa au kusoma hujui kakaππ
We jamaa bhana unaelewa maana ya kuspy??? Yaani amchunguze then aambie dunia "angalieni sehwmu vinu vya irani vipo"Hiko ni chanzo cha habari cha Israel, ndio maana wamesema "terror group", unachopaswa kujua ni kwamba hizo picha ni za kambi ya Israel, hio footage ni kambi za Israel ndio IDF hawajabisha, na kibaya zaidi ni kwamba IDF walikuwa kwenye military exercise na kulikuwa na ulinzi kuzuia drone yeyote ile toka Lebanon.
Kwa kuwa unabisha mimi nakupa na chanzo cha Israel tena (jerusalempost), Hezbollah wametoa footage sio tu maneno.
View attachment 1686191
Swali la pili nilikuuliza kama Israel wana picha au video yeyote kuonesha kama uthibitisho kwamba walipiga picha sites za Iran, lakini umenielewa vibaya.
Hezbollah wao wametoa picha za Israel , kwa nini Israel wasitoe hizo picha F-35 walipiga, kwa maana chanzo cha habari kinasema walipiga picha Iran.
View attachment 1686193
Tazama Israel ilivyo ndogo lakini ulinzi wa anga tu matatizo mpaka Hezbollah wanapeleka drones kwenda kupiga picha.
Au unataka nikuletee na chanzo kingine