Je, Iran inaweza kugeuza Aircraft Carrier za USA kuwa Shipwreck?

Mkuu Iran alikuwa na mahusiano mema na USA, tatizo kuna kibaraka mmoja USA walimuweka Shah Mohammed Phalavi, asee jamaa alikuwa anakula maisha, mke wake alikuwa anaoga maziwa mkuu, Iran njaa ilikuwa kali hatari, halafu uonevu ulizidi dhidi ya wananchi ndipo Khomenei alipopindua serikali na vita na USA ikaanzia hapo.

Ni kweli mkuu Iran wana wanawake wazuri,kitakwimu ndio wanaongoza middle east ikifuatiwa na Lebanon n.k
363727aef31e09811728125a2732211c.jpg

Kwenye ulimwengu wa ki arab Lebanon ndio wanaongoza kuwa na wanawake wazuri.
kotoka hapa hadi iran bei gani?
 
Sasa tumalize, ni kwamba Israel hajaingiza ndege Iran, ila Hezbollah wamepeleka drone kwenye anga la Israel.

Hbari za kusadikika unazileta hapa, ukitaka niamini leta footage, kama huna leta chanzo cha gazeti la Iran likithibisha kama Jpost walivyothibitisha.
Kwakua umesema wewe haya ili nafsi yako iridhike maana watotot wa H/G mna gubu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vya mwaka 1980-1988 kati ya Iraq na Iran, na USA kumpa back up Saddam ni funzo tosha kwa Iran kwamba wasikae kizembe.
Shah aliwaneemesha sana USA na UK wakati ule, Iran ipo sawa, ukikaa kizembe utamnufaisha mwingine, its ok.

Mkuu ikitoka Russia kwa reserve kubwa ya gas inafuatia Iran duniani, unaweza kuona jinsi walivyo na mali, hilo ndilo kosa.

Russia anauza gas ulaya kibabe japo USA hataki.

Kusema Iran isiwekeze jeshini ni sawa na kusema USA asiwekeze kijeshi.

Iran haijafanya mashindano yeyote yale kijeshi, baada ya mapinduzi 1979, 1980 wanaanza vita na Iran huku wana sanctions kibao ikiwamokutonunua silaha n.k.

Sasa unawekewa sanctions usimiliki silaha utakaa tu, huwezi, ndio maana wanabuni silaha zao wenyewe.

USA alikuwa anaogopa sana communisim na Iran ilikuwa inamezwa na ucommunist kwa kile chama cha Tudeh, ndio hawa capitalist wakafanya mipango mpaka Pahlavi anaingia kuongoza Iran kama kibaraka wa USA na kunufaisha USA na UK kwenye masuala ya petroleum.

Sasa unaona hao watu ni wazuri? ni bora Iran inavyowekeza kwenye jeshi .

..binafsi siamini ktk falsafa ya kupigana na marekani kijeshi.naamini ktk falsafa ya kupigana na marekani kiuchumi.

..Japan hasumbuani na marekani kijeshi, lakini Japan inachangia 35%+ ya magari yanayotembea marekani.

..South Korea naye amejifunza toka Japan. Nyumba nyingi za Wamarekani zina vifaa kama simu, tv, au computer, toka South Korea.

..India nao hawashindani na Marekani kijeshi, lakini nina hakika madawa mengi wanayotumia Wamarekani yametengenezwa India.

..Iran wangefuata muelekeo wa Japan, South Korea, na India, ktk ku-deal na Marekani nadhani leo wangekuwa mahali pazuri zaidi.
 
..binafsi siamini ktk falsafa ya kupigana na marekani kijeshi.naamini ktk falsafa ya kupigana na marekani kiuchumi.

..Japan hasumbuani na marekani kijeshi, lakini Japan inachangia 35%+ ya magari yanayotembea marekani.

..South Korea naye amejifunza toka Japan. Nyumba nyingi za Wamarekani zina vifaa kama simu, tv, au computer, toka South Korea.

..India nao hawashindani na Marekani kijeshi, lakini nina hakika madawa mengi wanayotumia Wamarekani yametengenezwa India.

..Iran wangefuata muelekeo wa Japan, South Korea, na India, ktk ku-deal na Marekani nadhani leo wangekuwa mahali pazuri zaidi.
Mkuu ww inaonekana ni mgeni kabisa wa siasa za kidunia na haujui chochote kuhusu siasa hizo bora ungekaa kimia.

Iran haijawahi kutaka mashindano na Marekani na ndio maana hajawahi kupeleka meli zake pwani ya Marekani kwa ajili ya kuwatisha raia wa Marekani,

Iran hazijawahi kupeleka maelfu ya wanajeshi , makombora ,mizinga,ndege za kivita karibu na mipaka ya Marekani na kutishia kuivamia.

Iran haijawahi kumuua kiongozi yeyote wa Marekani kwa makusudi kama livyo fanya Marekani kwa kumuua sureiman.

Iran haijahi kuwawinda wanasayansi wa Marekani na kuwauwa kama anavyo fanya Marekani na Israel zinavyo fanya kwa Iran.

Iran alishawahi kukubali kuingia kwenye mkataba wa Nyukilia ili kupunguza uhasama na nchi za magharibi Marekani akajitoa sasa hapo ni nani anaye razimisha uhasama kati ya Iran na Marekani?

Iran alikuwa ni mshirika mkubwa wa Marekani chini ya utawala wa sham lakini Iran haikunufaika na chochote zaidi ya Marekani kupora utajiri wao.

Kuhusu maendeleo sijui tekinorojia Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda na kitekinorojia kuliko taifa lolote pale mashariki ya kati ambayo karibia yote ni walamba miguu wa Marekani.

Pia Iran ndio muuza magari mkubwa mashariki ya kati hasa kenye nchi kama Iraq, Syria kipindi haijaharibiwa na asilimia 80 ya magari yanayo tumika nchi mwao wanatengenezwa nchini kwao.

Iran ni mtengenezaji mzuri tu wa pikipiki na soko lake ni Oman, Pakistan na Afghanistan.

Madawa yanayo tumika nchini humo asilimia 70 wana tengeneza wao.

Pia Iran ni mtengeneza mkubwa wa mazuria duniani.

Pia Iran ndio msambazaji mkubwa wa umeme katika eneo hilo karibia nusu nzima ya Iraq inategemea umeme wa Iran na baadhi miji ya Pakistan na Afghanistan.

Hapo nimekuelezea kwa ufupi tu,sasa mkuu unaongelea Iran ipi isiyo wekeza kwenye tekinorojia ya kiraia?
 
Mkuu ww inaonekana ni mgeni kabisa wa siasa za kidunia na haujui chochote kuhusu siasa hizo bora ungekaa kimia.
Iran haijawahi kutaka mashindano na Marekani na ndio maana hajawahi kupeleka meli zake pwani ya Marekani kwa ajili ya kuwatisha raia wa Marekani,
Iran hazijawahi kupeleka maelfu ya wanajeshi , makombora ,mizinga,ndege za kivita karibu na mipaka ya Marekani na kutishia kuivamia.
Iran haijawahi kumuua kiongozi yeyote wa Marekani kwa makusudi kama livyo fanya Marekani kwa kumuua sureiman.
Iran haijahi kuwawinda wanasayansi wa Marekani na kuwauwa kama anavyo fanya Marekani na Israel zinavyo fanya kwa Iran.
Iran alishawahi kukubali kuingia kwenye mkataba wa Nyukilia ili kupunguza uhasama na nchi za magharibi Marekani akajitoa sasa hapo ni nani anaye razimisha uhasama kati ya Iran na Marekani?
Iran alikuwa ni mshirika mkubwa wa Marekani chini ya utawala wa sham lakini Iran haikunufaika na chochote zaidi ya Marekani kupora utajiri wao.
Kuhusu maendeleo sijui tekinorojia Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda na kitekinorojia kuliko taifa lolote pale mashariki ya kati ambayo karibia yote ni walamba miguu wa Marekani.
Pia Iran ndio muuza magari mkubwa mashariki ya kati hasa kenye nchi kama Iraq, Syria kipindi haijaharibiwa na asilimia 80 ya magari yanayo tumika nchi mwao wanatengenezwa nchini kwao.
Iran ni mtengenezaji mzuri tu wa pikipiki na soko lake ni Oman, Pakistan na Afghanistan.
Madawa yanayo tumika nchini humo asilimia 70 wana tengeneza wao.
Pia Iran ni mtengeneza mkubwa wa mazuria duniani.
Pia Iran ndio msambazaji mkubwa wa umeme katika eneo hilo karibia nusu nzima ya Iraq inategemea umeme wa Iran na baadhi miji ya Pakistan na Afghanistan.
Hapo nimekuelezea kwa ufupi tu,sasa mkuu unaongelea Iran ipi isiyo wekeza kwenye tekinorojia ya kiraia?
Nadhan hajafanya utafit vzr
 
Mkuu ww inaonekana ni mgeni kabisa wa siasa za kidunia na haujui chochote kuhusu siasa hizo bora ungekaa kimia.
Iran haijawahi kutaka mashindano na Marekani na ndio maana hajawahi kupeleka meli zake pwani ya Marekani kwa ajili ya kuwatisha raia wa Marekani,
Iran hazijawahi kupeleka maelfu ya wanajeshi , makombora ,mizinga,ndege za kivita karibu na mipaka ya Marekani na kutishia kuivamia.
Iran haijawahi kumuua kiongozi yeyote wa Marekani kwa makusudi kama livyo fanya Marekani kwa kumuua sureiman.
Iran haijahi kuwawinda wanasayansi wa Marekani na kuwauwa kama anavyo fanya Marekani na Israel zinavyo fanya kwa Iran.
Iran alishawahi kukubali kuingia kwenye mkataba wa Nyukilia ili kupunguza uhasama na nchi za magharibi Marekani akajitoa sasa hapo ni nani anaye razimisha uhasama kati ya Iran na Marekani?
Iran alikuwa ni mshirika mkubwa wa Marekani chini ya utawala wa sham lakini Iran haikunufaika na chochote zaidi ya Marekani kupora utajiri wao.
Kuhusu maendeleo sijui tekinorojia Iran ndio taifa lenye nguvu za kiviwanda na kitekinorojia kuliko taifa lolote pale mashariki ya kati ambayo karibia yote ni walamba miguu wa Marekani.
Pia Iran ndio muuza magari mkubwa mashariki ya kati hasa kenye nchi kama Iraq, Syria kipindi haijaharibiwa na asilimia 80 ya magari yanayo tumika nchi mwao wanatengenezwa nchini kwao.
Iran ni mtengenezaji mzuri tu wa pikipiki na soko lake ni Oman, Pakistan na Afghanistan.
Madawa yanayo tumika nchini humo asilimia 70 wana tengeneza wao.
Pia Iran ni mtengeneza mkubwa wa mazuria duniani.
Pia Iran ndio msambazaji mkubwa wa umeme katika eneo hilo karibia nusu nzima ya Iraq inategemea umeme wa Iran na baadhi miji ya Pakistan na Afghanistan.
Hapo nimekuelezea kwa ufupi tu,sasa mkuu unaongelea Iran ipi isiyo wekeza kwenye tekinorojia ya kiraia?

..Iran inadumazwa na mgogoro wake wa miongo kadhaa na Marekani.

..wasingekuwa na migogoro na Marekani huenda waTz tungekuwa tunaendesha magari made in Iran, au tunatumia simu zilizotengenezwa Iran.

..Wairan wana wasomi wazuri, pia nchi yao ni tajiri, wanachokosea ni viongozi wanaowachagua hawana maono ya jinsi ya kuishi na kuchangamana na wakubwa wa dunia.

..Nashauri Iran ifuate model ya SOUTH KOREA watafika mbali.
 
..Iran inadumazwa na mgogoro wake wa miongo kadhaa na Marekani.

..wasingekuwa na migogoro na Marekani huenda waTz tungekuwa tunaendesha magari made in Iran, au tunatumia simu zilizotengenezwa Iran.

..Wairan wana wasomi wazuri, pia nchi yao ni tajiri, wanachokosea ni viongozi wanaowachagua hawana maono ya jinsi ya kuishi na kuchangamana na wakubwa wa dunia.

..Nashauri Iran ifuate model ya SOUTH KOREA watafika mbali.
Kuna kila dalili kuwa marekani ana zeeka mkuu meno yameshaanza kudondoka yenyewe!
China rafiki number moja wa Iran meno yameanza kuota kama sio Corona pengine tungesha anza kusikia mengi sana mkubwa anatafuta kamba ya Kujishikiza hali sio hali!!
 
..Iran inadumazwa na mgogoro wake wa miongo kadhaa na Marekani.

..wasingekuwa na migogoro na Marekani huenda waTz tungekuwa tunaendesha magari made in Iran, au tunatumia simu zilizotengenezwa Iran.

..Wairan wana wasomi wazuri, pia nchi yao ni tajiri, wanachokosea ni viongozi wanaowachagua hawana maono ya jinsi ya kuishi na kuchangamana na wakubwa wa dunia.

..Nashauri Iran ifuate model ya SOUTH KOREA watafika mbali.
Mkuu ebu niambie kosa la Iran ambalo linaifanya Marekani kuiandama kama anavyo fanya sasa.
 
Mkuu ebu niambie kosa la Iran ambalo linaifanya Marekani kuiandama kama anavyo fanya sasa.
Maendeleo ya watu, teknolojia na vitu vinamfanya awe na saut mashariki ya kati kitu ambacho saudia na Israel waitifak wa USA hawakitak kitokee na hapo ndipo wanamchagiza USA km bwana wao asimamie maslah yao km vile wao wanavyosimamia maslah yake.
 
Mkuu ebu niambie kosa la Iran ambalo linaifanya Marekani kuiandama kama anavyo fanya sasa.

..kaka mkubwa hakosei. mwenye nguvu, mpishe.

..Iran ni nchi nzuri, tajiri, na watu wake wana akili sana, tatizo wanaponzwa na viongozi wanaotunishiana misuli na Wamarekani.
 
Kuna kila dalili kuwa marekani ana zeeka mkuu meno yameshaanza kudondoka yenyewe!
China rafiki number moja wa Iran meno yameanza kuota kama sio Corona pengine tungesha anza kusikia mengi sana mkubwa anatafuta kamba ya Kujishikiza hali sio hali!!

..ni kweli kabisa.

..lakini Iran wamepoteza rasilimali zao na muda wao kwa mambo yasiyo na faida kwao.
 
..ni kweli kabisa.

..lakini Iran wamepoteza rasilimali zao na muda wao kwa mambo yasiyo na faida kwao.
Hesabu zao zimekubali mkuu adi udanganye mtu mzima ni kazi kweli kweli kwa mtu mzima mwenyewe mwizi na muhuni!
Israel na marekeni wangesha mpiga kitambo na kumharibia miundo mbinu yake marekani kaja kushituka kajitoa kwenye mkataba wa nuclear Iran akamwambia nina ongeza kurutubisha uranium zaidi asilimia tulizo kubaliana!
Sio kazi ndogo mkuu jamaa walicheza hakuna wa kumpiga tena!
Maana ana shabaha hatari na alisha onyesha mfano!!
Hakuna kitu kibaya kama uwezi palinda nyumbani kwako!
Yani hagusiki na akiguswa madhara ni makubwa kuliko faida!
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom