Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,204
- 885
Kutokana na sababu mbalimbali za morphology ya mwanamke na vitu vingine vya kibaiolojia, je kuna uhaja wa Serikali kuweka sheria mwanamke atibiwe na daktari wa kike tu hasa kwenye situations ambazo mwanamke ataonyesha utupu wake, kifua n.k.?