Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
We imagine tu mtu anavyokikata kata lazima atoe machozi iwe ke au Me,
Ingekuaje kama kitunguu kingekuwa demu?
Angekuwa bonge moja la star , mzuri kuliko wanawake wote , penzi lake matata ndio kabisa ,wanaume wenye pesa na makapuku wangekuwa wanamfukuzia kinyama,
Alafu unajua kitu kingekuja tokea , Miss kitunguu angekuwa siyo mchoyo kabisa,angekuwa kama wale mademu wa chako ni chako yaani ukimtongoza tu anakubali anakupa penzi lake tamu ukishanogewa tu anakupiga chini anaamia kwa jamaa mwingine,
Hapo lazima ulie , si mnajua kilio cha mapenzi kilivyo , kilio chake siyo kilio tu ni kilio cha Cha mbwa Koko.
Je kwa mtazamo wako ingekuwaje kama Kitunguu kingekuwa Demu?
Ingekuaje kama kitunguu kingekuwa demu?
Angekuwa bonge moja la star , mzuri kuliko wanawake wote , penzi lake matata ndio kabisa ,wanaume wenye pesa na makapuku wangekuwa wanamfukuzia kinyama,
Alafu unajua kitu kingekuja tokea , Miss kitunguu angekuwa siyo mchoyo kabisa,angekuwa kama wale mademu wa chako ni chako yaani ukimtongoza tu anakubali anakupa penzi lake tamu ukishanogewa tu anakupiga chini anaamia kwa jamaa mwingine,
Hapo lazima ulie , si mnajua kilio cha mapenzi kilivyo , kilio chake siyo kilio tu ni kilio cha Cha mbwa Koko.
Je kwa mtazamo wako ingekuwaje kama Kitunguu kingekuwa Demu?