Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,588
Askari huyu anapatikana mkoani Geita maeneo ya Katoro.
Askari huyu ana rasta, kimuonekano tu anatumia vitu vikali.
Juzi wamemnyakua huyo mwenyekiti wa wachimbajji wadogo wadogo hapo Geita.
Huyu na wenzake wakija kukuchukua usiku wanakupoteza bila shida yoyote kwa muonekano tu na roho yake ilivyo.
Bila shaka anaweza kuwa ni mmoja ya wale wanaoitwa “Wasiojulikana”
Askari huyu ana rasta, kimuonekano tu anatumia vitu vikali.
Juzi wamemnyakua huyo mwenyekiti wa wachimbajji wadogo wadogo hapo Geita.
Huyu na wenzake wakija kukuchukua usiku wanakupoteza bila shida yoyote kwa muonekano tu na roho yake ilivyo.
Bila shaka anaweza kuwa ni mmoja ya wale wanaoitwa “Wasiojulikana”