Je, huyu ni kahaba au mke?

Je, huyu ni kahaba au mke?

Wengi ni waongo wanazingua. Kuna demu wangu nilikuwa nachat naye daily akaniambia amepata kazi Dar kampuni ya kufunga minara. siku moja nimeingia sokoni nikanunue ndizi nimekuta anauza matembele kapauka balaa alishtuka alivyoniona akabaki anatoa maelezo hajui Hata anaongea nini
 
Wengi ni waongo wanazingua. Kuna demu wangu nilikuwa nachat naye daily akaniambia amepata kazi Dar kampuni ya kufunga minara. siku moja nimeingia sokoni nikanunue ndizi nimekuta anauza matembele kapauka balaa alishtuka alivyoniona akabaki anatoa maelezo hajui Hata anaongea nini

Haaaa haaaa haaaa mbavu zangu mie!...et anauza matembele, jf!!!
 
Lakini si unajua sura hata mbuzi anayo?
 
achana nae,,, endelea kwenda viwanja utapata mwingine....
 
Wakuu habari ,

Kuna msichana nimeanzisha naye uhusiano kama yapata miezi minne imepita.Nimejaribu kumsoma lakini bado simuelewi. Mara ya kwanza aliniambia anakaa kwa wazazi tukaendelea na life mara zote tulikua tunakutana viwanja tu. Baada ya mwezi akaniambia amepata kazi hotelini mkoa mfulani nilifurahi nikamruhusu aende na nikampa na nauli ya kuendea huko.

Siku moja kulikua na mechi kubwa ya yanga na kwakuwa yeye nimshabiki wa Yanga jioni yake baada ya mechi yanga ilishinda ikibidi nimpigie simu kumpongeza, nilimtania nimekuona uwanjani alishituka sana na akaniambia yupo dar kazi ameacha.Tukatafutana tulipo onanana nimuuliza upo kwa nani sasa jibu lake anakaa na dada na kazi ameacha.

Tangu siku hiyo mpaka leo huyu mtu si muelewi ni wa mizinga kila siku haipiti siku bila kuniomba hela, simuelewi.

Naombeni ushauri

Huko viwanja umekosa watu wa kukupa msaada ndio mpaka uje huku??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom