mmmmmmhhhh oxford dictionary yangu iko wapi mwanawane?
kazi ngumu mbona mkinyimwa munabembeleza hata kupiga magoti?Temea mate chini Merytina,haiendi hivo hata siku moja,acha uzungu bana,kumsopsop mzee na maneno matamu baada ya kujikunja na kukufikisha muhimu sana,uliza mama yeyote mtu mzima atakwambia.Kumbuka kumfikisha mwanamke kileleni si kazi ndogo,yahitaji ujuzi,uzoefu,subira na utaalam wa hali ya juu,appreciation muhimu ili siku nyingine ajitahidi zaidi orgasm ziongezeke.
wabinafsi nyie!!!!!duh wengine hatukijui hicho kilibyawa mwana veve kyani?
gonai kusongea tukusaidie...
Nshawahi kusema huko nyumba baba ndo kichwa cha nyumba and he is always right,utake usitake Rose!wap kuna ligi kwenye ayo?
au uji ligi?
kingne kinachonkera ni;
wanaume wasiopenda kuambiwa au kurekebshwa kwa kuzan yey ni mwwanaume basi apaswi kubishiwa au kuelekezwa anapokosea.....
Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
wabinafsi nyie!!!!!duh wengine hatukijui hicho kilibya
Nshawahi kusema huko nyumba baba ndo kichwa cha nyumba and he is always right,utake usitake Rose!
ninakisubiria....asi utatutafsiria....:mod:sawa bana,ngoja na mimi ksho nitashusha ki mandarin.
Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
Nyie kinamama nyie wa MMU embu acheni kuleta u beijing kwenye tendo la ndoa bana,taratibu za kiafrika shurti kuzingatiwa.Bishanga bwana, kila mtu aoshe kifaa chake..ha ha pia shukrani ni kwa wote kwa kuridhishana)
mimi inanikera kuchokonoa pua kwa vidole halafu kumpa mtu mkono kumsalimia..ndiyo mana salamu yangu huwa sishikani mikono na watu!!
unajua hawa tatizo lao wanakimbia majukumu waliopewa na Mungu, yaani matiti wamepewa wao halaf wanataka tunyonyeshe sisi. khaaa!Rose1980,Belindajacob,Merytina,Lizzy mnaona men to men tunavyoongea?