Je huu ni uungwana?

ha ha...lakini hawapigi hizo punyz mbele za watu kama mtu anavyochokoa pua halafu anakusalimu muda huo huo...kweli usafi kitu muhimu sana!!

usafi muhimu mpnz. Wanawake sasa kujikuna mba kichwani akitoka hapo anakuhug.
 
mi tabia znazonikera ni izi;
1.kujichokonoa puani mbele za watu

2.kutafuna chwaa chwaaa km mbuzi yaani ukiwa unakula mpaka jiran anajua yes jiran anatafuna sasa

3.kuingiza kidole mdomon na kuanza kuchokonoa meno mezani wakat wenzako wanakula...domo umelipanua unaingiza kidole kwenye magego ....

4.kunywa chai pyuuuuuuuuu km unapiga mluzi ..sasa apo ombea usimkute anakunywa uji utakimbia manake ni puuu ahh sjui wanavutaje..

5.wanaume wanaotongoza kishamba..nina makontena 7 bandarini...ahh yule jamaa nimemkopesha milion zangu anirudishii..ahh lile hammar langu....yaan nguo mimi sinunui natoa oda tu thailand..ahh bila mimi yule sasa izi angekuwa kijijin..mimi nina akili sana nimeinua sana kampuni ile....

6.nachukia mtu kujifanya much know sana yaani kila kitu anakijua ..kila kitu anataka akitolee mwongozo ata aina za ped wakat yeye mwanaume ..yaaan kila kitu anajua

7.nachukia wadada wanaojifanya wazuriiiiii..kumbe ukimcheki ni bint remy ongala
duuuuu kijani hiyo
 
heheheeh BJ bana! hongera kwa kubeba EPL. Halaf juzi nilienda gesti moja maeneo ya sinza nikaona inaitwa Old Trafford khaa! ukivaa jezi ya Manu unapunguziwa bei ya chumba.

Wewe una hatari sana yani bado Sinza hujaachana nako, sasa na-Copy & paste hiyo maneno yako kwa wifi unless kama ulienda nae:))
Hiyo Guest nayo inajua kuvutia wateja, basi arsenal japo wanatuchukia watavaa Maure jezi ili mradi wapate punguzo..teh teh
Asante, raha ya ushindi mpaka leo chereko..bado Barca!!

Halafu Bishanga, umenichanganya wewe...yani kumbe mnatula mzigo eeh? mmh! mbona hamuumalizigi mkiula?
 
Wewe una hatari sana yani bado Sinza hujaachana nako, sasa na-Copy & paste hiyo maneno yako kwa wifi unless kama ulienda nae:))
Hiyo Guest nayo inajua kuvutia wateja, basi arsenal japo wanatuchukia watavaa Maure jezi ili mradi wapate punguzo..teh teh
Asante, raha ya ushindi mpaka leo chereko..bado Barca!!

Halafu Bishanga, umenichanganya wewe...yani kumbe mnatula mzigo eeh? mmh! mbona hamuumalizigi mkiula?

heheh nilienda nae bana, tulikuwa tunasherehekea anniversary. Kwavile tulichumbiana gesti na anniversary tukaona bora tukaifanyie gesti.
 
wap kuna ligi kwenye ayo?
au uji ligi?
kingne kinachonkera ni;

wanaume wasiopenda kuambiwa au kurekebshwa kwa kuzan yey ni mwwanaume basi apaswi kubishiwa au kuelekezwa anapokosea.....
Red:nimeipenda hii sana,na siku zote anaye pendwa anarekebishwa.
 
khaaa! hilo neno jekundu sjui kwanini nikiliona linaamsha hisia zangu. khaaa! Wanaume tunataabika jamani.


ehh basi mtakuwa mna matatizo cz kila kitu kwenu ni tatizo tu...may cz nyie ni matatizo na mara nyng mnakuwaga vyanzo vya matatizo.
naomba pilton nilale matatizo ya waleta matatizo yamenichosha:A S 103:!!
 
Red:nimeipenda hii sana,na siku zote anaye pendwa anarekebishwa.

sure.
lakin kuna mbuzi wengne kwa kigezo cha akikojoa anasimama bas ata akikosea ukimwambia ananuna anazan umemdharau sjui ni kujishtukia au tatizo la mapungufu somewhere basi ukimrekebsha tu unakuwa umegusa kidonda...wakat ajui ata google yenyewe haina majibu/haijui kila kitu.

yaan utamkuta mtu kakomaaa nabishaaaaaaaaa ukimkosoa anakwambia mi mwanaume dah sjui inakuwaje ukiolewa na sampul i....
 
ehh basi mtakuwa mna matatizo cz kila kitu kwenu ni tatizo tu...may cz nyie ni matatizo na mara nyng mnakuwaga vyanzo vya matatizo.
naomba pilton nilale matatizo ya waleta matatizo yamenichosha:A S 103:!!
khaaa! ukilala naomba uote nakununulia vocha.
 
sure.
lakin kuna mbuzi wengne kwa kigezo cha akikojoa anasimama bas ata akikosea ukimwambia ananuna anazan umemdharau sjui ni kujishtukia au tatizo la mapungufu somewhere basi ukimrekebsha tu unakuwa umegusa kidonda...wakat ajui ata google yenyewe haina majibu/haijui kila kitu.

yaan utamkuta mtu kakomaaa nabishaaaaaaaaa ukimkosoa anakwambia mi mwanaume dah sjui inakuwaje ukiolewa na sampul i....

halafu wewe?,
ama zako, ama zangu!!!!!!!
siku zako zinahesabika!!!!!!!!!
 
kuongea sio issue ..kinachomata UNAONGEA NINI...
KWAIYO MMEOngea nin?

kipofu+kipofu?
men +men=?

soma sign yako...yes ata pale napo ni ivo ivo wewe mfanyie mahaba na yeye lakin si kuweka chururu yako mbele utegemee yeye daily aisafishe wakat we tangu uzaliwe aujawai ata kumsugua mgongo ...ata pole afta KAZ aujawai toa....
dawa yako we bakora tu!
 
halafu wewe?,
ama zako, ama zangu!!!!!!!
siku zako zinahesabika!!!!!!!!!


ahh hauntishi babuwewe..mwanaume gan wewe auniogesh afta work....kwenda zako uko!!!!

siku zako zshamalizika u just wait for kiama!!!!!
 
Leonard Mambo Mbotela hivi bado yupo hai?

Enzi zile alikuwa na kipindi KBC kikiitwa "Je, Huu ni Uugwana?"
Leonard Mambo Mbotela ,mjukuu wa watumwa waliookolewa Zanzibar,mtangazaji wa kbc enzi za matangazo ya maziwa ya kcc na sabuni ya lifebuoy,alishafariki (RIP LMM),unakumbuka enzi za gazeti la baraza?
 
Back
Top Bottom