Je, Hili sio bomu nataka kulipuliwa?

Je, Hili sio bomu nataka kulipuliwa?

sasa bila kukosolewa unajifunzaje kukosolewa ni lazima aisee wala hakuna haja ya kuchukia ukikosolewa ni elimu tosha mi jf huwa inanifunza mambo kibao
Kukosolewa ni vizuri lakini wengi wetu huona ni kama tasnifa na inajenga uhasama mkuu.
 
Usikurupuke kufanya maamuzi. Nenda nae Hosp, mkapime ujauzito huo una mda gani. Ukiona hauwiani na mda mliozini basi wewe c muhucka.

Sawa kabisa....
Baada ya uzinzi wenu mmepata zawadi yake sasa....
 
Back
Top Bottom