ephraim wahero
Senior Member
- Mar 24, 2016
- 139
- 26
mtoto wa mwenzio na wewe pia ni wako
Mar 27 2016, ndo umejoin, tayari umeishaanza kupost utumbo? Tulia kwanza dogo kwanza hata kuandika hujui, unaandika kama mtoto wa mdogo wangu anayesoma Shule ya Msingi Kikono kijijini. Angalia pale nilipobold ndo ujueHabari wanajamii,
Naomba mawazo yanu, nipo na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini nilipokuwa nikimshauri kuhusu kufanya tendo la sexual ananikatalia, huniruhusu niichezee baadhi ya sehemu tu za mwili wake, ni siku moja tu ndio aliyoniruhusu kuingiliananae kimwili(sexual) lakini baada ya siku kazaa ananiambia amebeba ujauzito wangu,
Naomba mawazo yanu JE HILI SIO BOMU NATAKA KULIPULIWA?
Nani kasema mkuu?mtoto wa mwenzio na wewe pia ni wako
Umefahamuje nilichokiandika?Mar 27 2016, ndo umejoin, tayari umeishaanza kupost utumbo? Tulia kwanza dogo kwanza hata kuandika hujui, unaandika kama mtoto wa mdogo wangu anayesoma Shule ya Msingi Kikono kijijini. Angalia pale nilipobold ndo ujue
Kama kwel haujala mzigo dah hilo ni bom kubwa sana, bora usepe mapema.
Mzigo siku moja tu, tena ulikubali wenyewe kuliwa maana nilipotaka kuula mimi ulikuwa unakataaKama kwel haujala mzigo dah hilo ni bom kubwa sana, bora usepe mapema.
Upo tayari kununua ngombe kwa mlio? Au kununua mbuzi kwenye gunia?Hahahaa..kwani unadhan mimba inaingia mkifanya mara kumi. Pengine hakuamini au anatunza ' adabu' yake mpaka mfunge ndoa
Ni afadhali aniambie nimsaidie hela ya abotion kirafiki #naweza nikamuelewa lakini sio kunipa mtoto mwenye baba yake
Sina habari nae tokea anivurugeBaada ya hapo bado unakula mzigo?au anabana!