Haiwezekan ingekuwa we ndio muhusika hawez kuzuia usipalilieMzigo siku moja, napata mazao
Haiwezekan ingekuwa we ndio muhusika hawez kuzuia usipalilieMzigo siku moja, napata mazao
Ni afadhali aniambie nimsaidie hela ya abotion kirafiki #naweza nikamuelewa lakini sio kunipa mtoto mwenye baba yakeWe kubali ushanasa maana mashine si umekula!!...na mimba huwa ni mara moja tu mdau.
Inawezekana ikawa yako au demu anakusukumia msala,kama vipi mkemia mkuu ahusike!.
Acha ushenzi. Yan umezini, bado unataka kuua?????? Haaaa!!!!!!Ni afadhali aniambie nimsaidie hela ya abotion kirafiki #naweza nikamuelewa lakini sio kunipa mtoto mwenye baba yake
Mimi nahisi yupo na rambo anataka kuniuwa, leo mimba sawa, kesho nahisi atakuja na ngomaUsikurupuke kufanya maamuzi. Nenda nae Hosp, mkapime ujauzito huo una mda gani. Ukiona hauwiani na mda mliozini basi wewe c muhucka.
Acha hizo wewe.!Ni afadhali aniambie nimsaidie hela ya abotion kirafiki #naweza nikamuelewa lakini sio kunipa mtoto mwenye baba yake
Hii movie nilipangiwa, bomu naliruka kama snakeAcha hizo wewe.!
We naeeeeeee......
Unatambua kuwa bomu likiripuka nimemekufa mzimamzima?We naeeeeeee......
Kupanda tusipande wote, kupalilia tusipalilie wote, iweje mavuno tuvune wote?Lilipue ilo bomu..!fanya utafiti yaani mchunguze ili ujue ukweli wa mambo.
Ndio fuatilia ni ya muda gani halafu unganisha matukio ndio utajiridhisha sio yako.Hii movie nilipangiwa, bomu naliruka kama snake
Na kwanini ufe ...ulipofanya dry ulitegemea niniUnatambua kuwa bomu likiripuka nimemekufa mzimamzima?
Aunga mkono hoja mkuuUsikurupuke kufanya maamuzi. Nenda nae Hosp, mkapime ujauzito huo una mda gani. Ukiona hauwiani na mda mliozini basi wewe c muhucka.
Sasa kwanini kama mimi ndio mpenzi wake alikuwa ananibania? Na muda aliotaka yeye ndio ananiletea mtoto?Na kwanini ufe ...ulipofanya dry ulitegemea nini
Nitajaribu kufatilia mda mfupi ikiwezekana #lakini inauma sana kulea mtoto wa mwenzakoHujui mlifanya uzinzi lini?
Nenda mkapime, ujue mimba ina muda gani?!
Kama ni yako usimkimbie dada wa watu.
Jiandae kuitwa baba, Kama umepanga chumba kimoja, muda wa kuongeza idadi ya vyumba umefika.
Hahahaa..kwani unadhan mimba inaingia mkifanya mara kumi. Pengine hakuamini au anatunza ' adabu' yake mpaka mfunge ndoaSasa kwanini kama mimi ndio mpenzi wake alikuwa ananibania? Na muda aliotaka yeye ndio ananiletea mtoto?
Kwani wewe unapootesha mahindi unaotesha mara ngapi katika shimo moja ndipo uvune kwa msimu mmoja. Ukipata jibu njoo uulize swali lako hapa.Habari wanajamii,
Naomba mawazo yanu, nipo na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini nilipokuwa nikimshauri kuhusu kufanya tendo la sexual ananikatalia, huniruhusu niichezee baadhi ya sehemu tu za mwili wake, ni siku moja tu ndio aliyoniruhusu kuingiliananae kimwili(sexual) lakini baada ya siku kazaa ananiambia amebeba ujauzito wangu,
Naomba mawazo yanu JE HILI SIO BOMU NATAKA KULIPULIWA?
Mkuu si ulilazimisha kugegeda?? Hayo ndo matunda yake...hakuna cha bomu wala fataki...jipange kulea tu..Habari wanajamii,
Naomba mawazo yanu, nipo na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini nilipokuwa nikimshauri kuhusu kufanya tendo la sexual ananikatalia, huniruhusu niichezee baadhi ya sehemu tu za mwili wake, ni siku moja tu ndio aliyoniruhusu kuingiliananae kimwili(sexual) lakini baada ya siku kazaa ananiambia amebeba ujauzito wangu,
Naomba mawazo yanu JE HILI SIO BOMU NATAKA KULIPULIWA?