Je, Hili nalo lina Ukweli....?

Tena
From the mighty and legend of love Ms MwanajamiiOne.... Nlichoipendea hii thread kila anachocomment Mj1 anaweka na umombo kiduchu ili aeleweke vizuri. Penzi la kiafrika bila kaneno kakiinglish huwa halinogi asee. Ndo maana mpk leo sijapata sentensi bora ya kutohoa "I MISS YOU"
Asprin mbona maana yake rahisi sana "NIMEKUPOTEZA"
 
Last edited by a moderator:
Kongosho katika maisha ya mahusiano hasa yanapofikia hatua ya kuzoeana sana kuna vitabia huwa vinaondoka na vingine vina develope ambavyo tena vinakuwa na ladha nzuri kuliko yale maneno ya mahaba mliyokuwa mnaambiana wakati mnatongozana.

mathalani watu wengi sana kadiri mahusian yanavyozidi kukua ndivyo wanavyokuwa marafiki na hawa kwao maisha ya kuambiana i love you yanaapungua yanabaki maisha ya kuambiana kirafiki tena wengine hata kwa kutumia lugha za matusi wakati wanaongea.

mfano waweza "kusema baba fulani urudi mapema leo nataka kit...o na akacheka akajibu mshkaji huchoki?"........ na anarudi mapema na mchezo anakupa. sasa katika zingira kama hilo utahesabu nini? yaani sielewi mtu anayeanza kuhesabu anatendewa nini kwenye mahusiano unless ni begginers.

Huyu mwanamke kama nigewahi kuzaliwa ningemuoa. Nina hakika ningemuweza
 
Hapana godsonwin nadhani kuna sehemu hujanielewa pengine nimekumislead mydia. KWa hii thread, am trying to be objective as I can. Chochote ninachoandika hapa HAKIHUSIANI na maisha yangu hata kidogo. Am a happy bird now with a lot of freedom of expression and love.

Hapa ninajaribu kuielewa hii paragraph nloisoma kwenye hiyo source.
Hebu msome Kaizer pengine anaeleweka vema kuliko mie maana we are sailing on the same boat.

basi sasa umenielewesha because i thought it relates with yourlife and the way unavyo respond is as if yes. ok usjali na nashukuru kwa kuniondolea uchungu sasa naweza kwenda lala manake sipend mtu anyanyasike sijui kwanini aisee huwa naumia sana juu ya hali kama hiyo. nisamehe na namuomba mod aondoe post zangu zilizokureflect weye am so sorry.
 
but if now he is coming back, wajiumiza kwa kitu gani tena dearest? mbaya ni kama hajajua but kama kajua itmeans atabadilika as days go. usitegemee abrupt change has kwa binadamu ni ngumu sana unless awe ni mtu wa kupenda kupretend.

Hahahah gfsonwin bana. Haya twendelee na mada BUT jua kwa sasa sifit kwenye hii situation aisee namshukuru MUNGU.
 
basi sasa umenielewesha because i thought it relates with yourlife and the way unavyo respond is as if yes. ok usjali na nashukuru kwa kuniondolea uchungu sasa naweza kwenda lala manake sipend mtu anyanyasike sijui kwanini aisee huwa naumia sana juu ya hali kama hiyo. nisamehe na namuomba mod aondoe post zangu zilizokureflect weye am so sorry.

No no gfsonwin usiziondoe kwani sitasaidia wengine kuelewa kuwa wasichanganyikiwe na wao. Hujanikwaza mpendwa shaka ondoa kabisa. Nadhani nitakuwa nimekuchanganya nilioposema akili yangu haifanyi kazi niko kama Zombie (Hii ni kwa sababu ya My Soulmate) bana si kwa hii thread. Please be at peace
 
Nakiri kwa mara ya kwanza JF akili yangu imeshindwa kuelewa unachomaanisha hapa Babu yangu. Tafadhali nisaidie!

Jamani namtafuta Soulmate!

Nasema hivi,

Watu wa enzi hizi za kwenu wanatumia msuli mwingi kufanya vitu virahisi sana.....Kwa nini utumie nguvu nyingi kufanya analysis ambayo ki-ukweli inaweza isiwe na tija? Kwani inzi huwezi kumwona kwa macho hadi uende kuazima visaidizi??

Wewe endelea kumupa dozi tu.... kama akicheua si utaona dada???


Babu DC!!
 
Hahahah gfsonwin bana. Haya twendelee na mada BUT jua kwa sasa sifit kwenye hii situation aisee namshukuru MUNGU.

ok hongera kwa hilo. mimi bado nasema ukweli kabisa kuanza kupigiahesabu ya unachokifanya in the name of love katika mahusiano ni kutaka kuyavunj mahusiano husika ma dearest.
 
Nilicho na hakika nacho ni kwamba mapenzi ni kama mazingaombwe mara nyingi hayawi na hiyari...Yanagusa kule tusipoweza kupadhibiti. Ni kama nguvu tusiyoweza kuiona na kuidhibiti!!

Nachosema ni hiki: Hii nguvu tusiyoweza kuidhibiti moja kwa moja (mapenzi) tunaiundia mfumo unaoitwa mahusiano ili angalau tuyadhibiti...........Ndipo hapo tunaweza kuyapima kwa kutumia mawasiliano, tunavyotendeana, tunavyochukuliana udhaifu wetu, tunavyojali na tunavyokabili changamoto zinazotuhusu kwa pamoja.

Kwa hiyo tusiweke hofu sana kwa jambo tusilokuwa na uwezo tutamkaribisha shetani (as per gfsonwin)...Msingi tufurahi vitu vipya katika mahusiano baada ya i love you i love you kupungua.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwanamke kama nigewahi kuzaliwa ningemuoa. Nina hakika ningemuweza

sikupi like manake waweza kuwa ni Gson wangu weye. hebu niende jukwaa la wakubwa huku nshaanza kuona ishara za kukutana na watoto wangu site mbaya.
 
kuna msemo ukimchunguza kuku hutamla
au ukimchunguza nyoka utakuja sema ana miguu
 
Jamani, kila kitu ni muhimu kufanyiwa analysis, kwa sababu bila kufanya huo uchunguzi unaweza ukadhani mambo yako sawa kumbe kulishaingia mushikeli zamani bila wewe kujua.
Naamini ni muhimu kwa wote wawili kuinvest, hata kama siyo equal amount ya care, basi iwe proportionate amount ambayo itaridhisha pande zote. Ebu fikiria, "una significant other" wako ambaye kweli unajitoa na kujitahidi sana kumpa tough ya nguvu, lakini in return yeye anakuchukulia kama nobody, unamjali na unajali mambo yake, lakini kwa yako yeye hajali; hivi utajisikiaje?
Bila kufanya uchunguzi na kugundua dalili jamani utajuaje kama umepigwa chini?
 
Back
Top Bottom