gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,675
Kongosho katika maisha ya mahusiano hasa yanapofikia hatua ya kuzoeana sana kuna vitabia huwa vinaondoka na vingine vina develope ambavyo tena vinakuwa na ladha nzuri kuliko yale maneno ya mahaba mliyokuwa mnaambiana wakati mnatongozana.ukiona wee ndio unawekeza sana unaanza kukata tamaa pole pole mwishowe waweza tema mzigo hivi hivi.
Afu ukutane na mtu mgumu 'kurenew statement'
yaani alivyokuambia anakupenda siku mnatongozana ndo basi tena hatakaa arudie kusema neno hilo.
Kama hukumrekodi kipindi cha matongozo ili uwe unajikumbushia imekula kwako.
mathalani watu wengi sana kadiri mahusian yanavyozidi kukua ndivyo wanavyokuwa marafiki na hawa kwao maisha ya kuambiana i love you yanaapungua yanabaki maisha ya kuambiana kirafiki tena wengine hata kwa kutumia lugha za matusi wakati wanaongea.
mfano waweza "kusema baba fulani urudi mapema leo nataka kit...o na akacheka akajibu mshkaji huchoki?"........ na anarudi mapema na mchezo anakupa. sasa katika zingira kama hilo utahesabu nini? yaani sielewi mtu anayeanza kuhesabu anatendewa nini kwenye mahusiano unless ni begginers.
Last edited by a moderator: