Je, hili limewahi kukutokea?

Kwamba hamkupeana utamu jamani

Kwamba hamkupeana utamu jamani [emoji848]
Imagine! Hatukupeana ule wa kugusana, maana hatukuonana ana kwa ana. Tuliishia kushare picha na sauti tu.

Ila utamu halisi nadhani ni furaha ya moyo ( the butterflies )- hizo zilikuwepo sana, hata yeye mwenyewe alikiri mara kwa mara kwamba mzuka umepanda.
 
Hapana
Naendelea kusoma comments
 
Ooh
 
Kwanini ibaki story wewe na J jamani?
J atakuwa ni mjanja sana😃
 
Hivi humu jf mimi tu ndio sina bahati au vp? Watu wanapendana , wanaachana hebu na mimi nipate mmoja basi tena nitampenda mpaka mwisho wa dunia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…