Je hii ni sawa kwa GOLDEN BOOT WINNER?

Closed...
 
Bila kujali rangi..."black ebony shoe" 😀
 
Bila kujali rangi..."black ebony shoe" 😀
Black badala ya Bara la Africa (Inawakilisha watu wenye asili ya bara la Africa)...hata Waarabu wa Morocco, Tunisia, Algeria Na Egypt Waliowahi kucheza Hapo Belgium na wakafanya vyema basi walipewa Tuzo Hiihii. Hilo la "Black ebony shoe" Lisikuumize kichwa mkuu.
 
Kuna ubaguzi happy hizo sababu zingine hazina mashiko.
 
With All Due Respect, Mleta Mada Ni Mbumbumbu.
 
Alicho pewa samata Sio kwamba Ndio golden boot Kwa kuwa mfungaji bora hicho ni kwaajiri ya tuzo aliyo pewa ya ebony boot Award wanepewa wachezaji wenye asili ya Africa wanao kipiga ubeligiji kiatu cha dhahabu Kwa mfungaji bora mpaka ligi iishe na bado game tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…