NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,280
- 12,774
Mbio za Kiatu cha #UfungajiBora wa NBC Premier League msimu huu zinaendelea kupamba moto na mpaka sasa kileleni yupo Feisal Salum wa Azam Fc ambaye hapo jana alifikisha magoli 11 na anayemfuatia ni Stephane Aziz Ki wa Yanga Sc mwenye magoli 10.
Maoni Yangu: kwa kua Feisal Salumu hatokei Yanga Sc Wala Simba sc hutoona wachambuzi, Redio, magazeti na Tv zikimuimba lakini bwana mdogo yupo Moto sana.
Maoni Yangu: kwa kua Feisal Salumu hatokei Yanga Sc Wala Simba sc hutoona wachambuzi, Redio, magazeti na Tv zikimuimba lakini bwana mdogo yupo Moto sana.