demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Nimeingia mtandaoni jioni hii nikaona picha za Mayele na Ntibanzokinza. Ghafla nikadhani labda wamepata ajali ya gari na kufariki, Kumbe sivyo!
Kumbe palikuwa na mada ya ufungaji wa Magoli.
Sikieni. Suala la kiatu ni jambo dogo sana. Klabu inapo ainisha malengo yake huwa hawazungumzii kaabisa suala la kiatu cha ufungaji bora.
Kimsingi kushinda kiatu cha ufungaji bora si ishara ya ubora wa mchezaji. Mchezaji yeyote anaweza kuiotea form na akajikuta anakuwa top scorer wa NBC PL.
Hata ikitokea Ntibanzokinza akabeba wala haiondoi ukweli kuwa Mayele had the best season of his career. Haitaji kujipembua kama ni Top Striker ikiwa CAFCC kawa Top Scorer.
Klabu kubwa zinajipembea kwa kufikia Malengo makubwa. Klabu ya Yanga SC imekwisha toka katika hatua ambazo wengine wanapitia.
Ni kheri Yanga SC isitoe mfungaji bora kwa misimu 10 mfululizo lakini Ibebe Mataji Yote ya Ndani.
Mfano:- Kuna wachezaji kibao bora hawajawahi shinda Uefa Champions League (UCL). Kuto shinda hilo taji hakukuwafanya wasiwe top top players.
Diego Maradona.
Ronaldo Nazario.
Dennis Bergkamp.
Michael Ballack.
Gianluigi Buffon.
Lilian Thuram.
Lothar Matthaus.
Francesco Totti.
Hivyo basi hakuna presha ya kiasi chochote kitakachomfanya MAYELE acheze mechi ya mwisho wa Ligi ili asipumzike kwa sababu ya kombe la ASFC.
By the way, Kiatu kitakuwa faraja tosha kwa msimu huu kwa klabu ambayo haijabeba Silverware yeyote ile kwa misimu miwili mfululizo.
Kumbe palikuwa na mada ya ufungaji wa Magoli.
Sikieni. Suala la kiatu ni jambo dogo sana. Klabu inapo ainisha malengo yake huwa hawazungumzii kaabisa suala la kiatu cha ufungaji bora.
Kimsingi kushinda kiatu cha ufungaji bora si ishara ya ubora wa mchezaji. Mchezaji yeyote anaweza kuiotea form na akajikuta anakuwa top scorer wa NBC PL.
Hata ikitokea Ntibanzokinza akabeba wala haiondoi ukweli kuwa Mayele had the best season of his career. Haitaji kujipembua kama ni Top Striker ikiwa CAFCC kawa Top Scorer.
Klabu kubwa zinajipembea kwa kufikia Malengo makubwa. Klabu ya Yanga SC imekwisha toka katika hatua ambazo wengine wanapitia.
Ni kheri Yanga SC isitoe mfungaji bora kwa misimu 10 mfululizo lakini Ibebe Mataji Yote ya Ndani.
Mfano:- Kuna wachezaji kibao bora hawajawahi shinda Uefa Champions League (UCL). Kuto shinda hilo taji hakukuwafanya wasiwe top top players.
Diego Maradona.
Ronaldo Nazario.
Dennis Bergkamp.
Michael Ballack.
Gianluigi Buffon.
Lilian Thuram.
Lothar Matthaus.
Francesco Totti.
Hivyo basi hakuna presha ya kiasi chochote kitakachomfanya MAYELE acheze mechi ya mwisho wa Ligi ili asipumzike kwa sababu ya kombe la ASFC.
By the way, Kiatu kitakuwa faraja tosha kwa msimu huu kwa klabu ambayo haijabeba Silverware yeyote ile kwa misimu miwili mfululizo.