mashonga
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 594
- 967
yaap huo ndo mchezo waoSeriously??? Acha utani, hiyo ndio maana??? Lakini unajua sabuni ya unga uwa inachoma hata mikono
yaap huo ndo mchezo waoSeriously??? Acha utani, hiyo ndio maana??? Lakini unajua sabuni ya unga uwa inachoma hata mikono
Mtindo ni wa muda huu. Niliona mwaka jana wanaosha machungwa. Wanapoosha yanang'aa na kuvutia wateja.Nimepiga ,ile anainuka akakuta ndio huyooo naondoka nikazuga nachati
hahaahahah, Kigoma unaenda lini tena? tehe tehe teheNimepiga ,ile anainuka akakuta ndio huyooo naondoka nikazuga nachati