Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,233
- 1,191
Nimepita maeneo kimara terminal ,kwa bahati pembeni nilivutiwa na macheza ambayo yamepangwa vizuri ,ila baada ya kusogea kwa nyuma kidogo nikakuta ,shughuli hyo hapo kwenye picha inaendelea, dada ameweka sabuni ya unga kwenye beseni yupo na brush anasugua machenza hayo na machungwa.
Swali kwa wale wataalam wa Nutrition na TFDA hii kitu nisalama kweli kuosha matunda nasabuni ya unga na kuyapanga watu wayatumie ?? Na hata kama yakisuuzwa vizuri ni sawa kabisa ? Na kama unavyoona kwenye ndoo nyeupe ndio anasuuza ila bado kuna povu .
Naomba hoja zenu.
Swali kwa wale wataalam wa Nutrition na TFDA hii kitu nisalama kweli kuosha matunda nasabuni ya unga na kuyapanga watu wayatumie ?? Na hata kama yakisuuzwa vizuri ni sawa kabisa ? Na kama unavyoona kwenye ndoo nyeupe ndio anasuuza ila bado kuna povu .
Naomba hoja zenu.