Je, hii ni moja ya sababu kwa nini vijana wengi wa Tanzania hawatoboi?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,586
15,370
Kutokuwa tayari kula na watu.

Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk.

Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo faida na mimi nipata kiasi flani, hata pesa ya marketing ntashiriki. Hii ingemsaidia kukua kwa kasi.

Baada ya hapo dogo akachimba, ananikwepa. Yeye anaamini kutoboa kwa kula kila kitu peke yake. Hataki kula na watu.

Hii tabia nimeiona kwa madogo wengi. Sio waaminifu. Wanafikiri mafanikio ni kujikusanyia kila kitu wao bila kutoa ili mwingine akipata na wewe unapata zaidi.

Poor people compete
Rich people Cooperate.

Je unadhani kwa nini madogo na vijana wengi wanastrago sana kutoboa wakati vijana wenzao china us na baadhi ya nchi africa magharibi wanatoboa kwa kasi.

Maoni yako.
 
Kutokuwa tayari kula na watu.

Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk.

Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo faida na mimi nipata kiasi flani, hata pesa ya marketing ntashiriki. Hii ingemsaidia kukua kwa kasi.

Baada ya hapo dogo akachimba, ananikwepa. Yeye anaamini kutoboa kwa kula kila kitu peke yake. Hataki kula na watu.

Hii tabia nimeiona kwa madogo wengi. Sio waaminifu. Wanafikiri mafanikio ni kujikusanyia kila kitu wao bila kutoa ili mwingine akipata na wewe unapata zaidi.

Poor people compete
Rich people Cooperate.

Je unadhani kwa nini madogo na vijana wengi wanastrago sana kutoboa wakati vijana wenzao china us na baadhi ya nchi africa magharibi wanatoboa kwa kasi.

Maoni yako.
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Sababu kuwa.
1. Kukosa stadi za maisha za kufanya mambo ya kiuchumi kulingana na mazingira yao na wenye stadi wana hofu ya kujaribu na kutokuwa tayari kuanzia padogo.

2. Wengi wana mawazo mazuri ya nn cha kufanya lakini hawana kianzio(mtaji) na mara nyingi ni kwasababu wanaona aibu kuanza kitu kidogo hivyo kadiri wanavyosubiri kuanza kitu kikubwa ambacho hawana uwezo nacho wanazidi kuteseka kwa ugumu wa maisha.

matunduizi usifananishe vijana wa Tz na wa china au us na nchi zilizoendelea kumbuka hawa wapo kwenye mifumo tofauti ya kiuchumi. Nchi zilizoendelea zinawaandaa vijana na pia uchumi wao unawapa fursa tofauti na huku. Ni vyema kutoa hoja na mtazamo wako lakini usiwafananishe.
 
hawa wadogo zetu na muda mwingine hata ma bro kwetu wana ubinafsi anataka ajae akope kwako bila riba na ukimwambia muunge nguvu hataki basi unamuacha akakope bank na anaanguka anajikuta anakuuzia Ww bidhaa zake kwa bei ndogo ili aweze lipa bank au alipokopa,,, kawaida sana mtu kuona ananyonywa kumbe anasaidika kwa namna moja
 
Kutokuwa tayari kula na watu.

Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk.

Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo faida na mimi nipata kiasi flani, hata pesa ya marketing ntashiriki. Hii ingemsaidia kukua kwa kasi.

Baada ya hapo dogo akachimba, ananikwepa. Yeye anaamini kutoboa kwa kula kila kitu peke yake. Hataki kula na watu.

Hii tabia nimeiona kwa madogo wengi. Sio waaminifu. Wanafikiri mafanikio ni kujikusanyia kila kitu wao bila kutoa ili mwingine akipata na wewe unapata zaidi.

Poor people compete
Rich people Cooperate.

Je unadhani kwa nini madogo na vijana wengi wanastrago sana kutoboa wakati vijana wenzao china us na baadhi ya nchi africa magharibi wanatoboa kwa kasi.

Maoni yako.
Mifumo yetu ya maisha bado ni mifumo ya Ujamaa na kujitegemea
Huo mfano wako ni mfumo wa kibepari
 
Kutokuwa tayari kula na watu.

Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk.

Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo faida na mimi nipata kiasi flani, hata pesa ya marketing ntashiriki. Hii ingemsaidia kukua kwa kasi.

Baada ya hapo dogo akachimba, ananikwepa. Yeye anaamini kutoboa kwa kula kila kitu peke yake. Hataki kula na watu.

Hii tabia nimeiona kwa madogo wengi. Sio waaminifu. Wanafikiri mafanikio ni kujikusanyia kila kitu wao bila kutoa ili mwingine akipata na wewe unapata zaidi.

Poor people compete
Rich people Cooperate.

Je unadhani kwa nini madogo na vijana wengi wanastrago sana kutoboa wakati vijana wenzao china us na baadhi ya nchi africa magharibi wanatoboa kwa kasi.

Maoni yako.
Hii ni Kweli tulikaa kikao na Colleague wenzangu tukaunda Idea ya kufungua kampuni.....tukaanza michakato ya Usajiri TRA na BRELA

Aisee yule Mwarabu sitamsahau.....kumbe tunapiga hatua huku na yeye anapiga kule.....Mwisho wa siku akajitoa kwenye muungano. Kwa kuwa yeye alikuwa na Hela akashinda akaanzisha Kampuni yake.

Sisi tukaendelea na maisha mengine.

Haikumaliza miaka mitatu akaifunga akashindwa ku run
 
hawa wadogo zetu na muda mwingine hata ma bro kwetu wana ubinafsi anataka ajae akope kwako bila riba na ukimwambia muunge nguvu hataki basi unamuacha akakope bank na anaanguka anajikuta anakuuzia Ww bidhaa zake kwa bei ndogo ili aweze lipa bank au alipokopa,,, kawaida sana mtu kuona ananyonywa kumbe anasaidika kwa namna moja
Mke wangu alipigiwa simu na Kaka yake akamwambia kuna Mchongo wa Milioni 10 una faida maana ni tender ya serikali.

So Kaka yake akataka akope pesa. Kabla Wife hajanipa taarifa hiyo akamwambia sasa Bro Watu hawakopi pesa kwa mtindo huo.

Ukiazima pesa za mchongo una iambia kabisa na mimi ntapata sh ngapi?

Bro wake( shemeji yangu) akala nduki.

Aidha ule haukuwa mchongo alitaka kumtapeli dada yake.
 
Kukosa stadi za maisha za kufanya mambo ya kiuchumi kulingana na mazingira yao na wenye stadi wana hofu ya kujaribu na kutokuwa tayari kuanzia padogo.
Hii imetukost sana vijana wengi. ....mimi naanza kuachana nayo.

Kuogopa kuanza na kidogo.
 
. Wengi wana mawazo mazuri ya nn cha kufanya lakini hawana kianzio(mtaji) na mara nyingi ni kwasababu wanaona aibu kuanza kitu kidogo hivyo kadiri wanavyosubiri kuanza kitu kikubwa ambacho hawana uwezo nacho wanazidi kuteseka kwa ugumu wa maisha.
100% Perfect
 
Kutokuwa tayari kula na watu.

Kuna dogo mmoja anafufua na kuuza PC kwa bei rahisi. Alinifuata anaomba mtaji na hataki kukopa benk.

Nikamwambia sasa mimi nitawekeza kiasi kadhaa alafu katika hiyo faida na mimi nipata kiasi flani, hata pesa ya marketing ntashiriki. Hii ingemsaidia kukua kwa kasi.

Baada ya hapo dogo akachimba, ananikwepa. Yeye anaamini kutoboa kwa kula kila kitu peke yake. Hataki kula na watu.

Hii tabia nimeiona kwa madogo wengi. Sio waaminifu. Wanafikiri mafanikio ni kujikusanyia kila kitu wao bila kutoa ili mwingine akipata na wewe unapata zaidi.

Poor people compete
Rich people Cooperate.

Je unadhani kwa nini madogo na vijana wengi wanastrago sana kutoboa wakati vijana wenzao china us na baadhi ya nchi africa magharibi wanatoboa kwa kasi.

Maoni yako.
Mimi nilijifunza falsafa hii kutoka kwa marehemu Babu alikua akiuza Mali au mazao hugawia kila mtu Alie shiriki kwenye ku make it happened...

Enzi zile hakuna m-pesa,tigopesa, Airtel money, halopesa N.K

ALIMTUNZIA ASIE KUWEPO KWENYE KIBAHASHA MPAKA ATAKAPO RUDI ANAKUPATIA MGAO WAKO..

Pesa huleta tamaa huleta maafa huleta usaliti kugeukana kuzungukana dhuluma kwel pesa mwanaharamu....

Mimi huwa nikifanya deals ntachukua Cha kwangu na chochote kinacho zidi humpatia huyo ninae fanya nae deals..

Kwa kwel vijana wengi hawana subra kwa kwel
 
Hii imetukost sana vijana wengi. ....mimi naanza kuachana nayo.

Kuogopa kuanza na kidogo.
Ukishindwa kuanzia padogo unapoweza utakuwa mtazamaji wa wengine wakifanikiwa. Kikubwa Mwamini Mungu. Uwe na taarifa za kutosha juu ya unachotaka kufanya ukiona kuna jambo huelewi vizuri jifunze then anza hata kama ni padogo utafanikiwa mbeleni lkn kuogopa kuanzia padogo hautafanikiwa
 
Ukishindwa kuanzia padogo unapoweza utakuwa mtazamaji wa wengine wakifanikiwa. Kikubwa Mwamini Mungu. Uwe na taarifa za kutosha juu ya unachotaka kufanya ukiona kuna jambo huelewi vizuri jifunze then anza hata kama ni padogo utafanikiwa mbeleni lkn kuogopa kuanzia padogo hautafanikiwa
Mifano ipo mingi Sanaa yes wapo walio amini mziki na music ukawatoa kwenye dhiki..

Wapo walio anzisha makanisa na ya kawatoa..

Wapo walio amini kwenye football na wakatoboa

Same case kilimo,ufugaji,biashara N.K

So unaweza kua au kufanya chochote from the scratch with passion na ukatoboa

NB:
YEYOTE ANAWEZA KUA YEYOTE
 
Back
Top Bottom