happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
Naombeni msaada wa mawazo.
Sijui nifanyeje mwanzo nilikua natabia ya kuota na sex na mwanaume lakini ninakama mwaka naota nasex na mwanamke mwenzangu nimejaribu kuomba hali hiyo inapotea kama siku 2 inarudi tena. Hii imenipelekea kuvuruga mahusiano yangu mengi.
Ninaweza pata mchumba tukavuragana bila sababu ya msingi hata kama tutakua tumetambulishana hata kutolewa mahari.
Nimekua na bahati ya kupata wachumba lakini mambo yamekua yakivunjika bila hata sababu yoyote.
Ndugu naombeni msaada wa mawazo hata ushauri pia kweli ninatatizo sana nashindwa nitoke vp nitashukuru
Sijui nifanyeje mwanzo nilikua natabia ya kuota na sex na mwanaume lakini ninakama mwaka naota nasex na mwanamke mwenzangu nimejaribu kuomba hali hiyo inapotea kama siku 2 inarudi tena. Hii imenipelekea kuvuruga mahusiano yangu mengi.
Ninaweza pata mchumba tukavuragana bila sababu ya msingi hata kama tutakua tumetambulishana hata kutolewa mahari.
Nimekua na bahati ya kupata wachumba lakini mambo yamekua yakivunjika bila hata sababu yoyote.
Ndugu naombeni msaada wa mawazo hata ushauri pia kweli ninatatizo sana nashindwa nitoke vp nitashukuru