Dunia ya siku hizi Majini wanawapenda bindamu dunia ndio inakwenda zake ukingoni. Jini Mahaba ni Jini mbaya sana akikupenda umekwisha atakutia umasikini maisha yako yote utahangaika mpaka utakufa huna maendeleo yoyote yale ukiwa nae fanya juu chini umuondowe.
acha kulala unawaza ngono.
Kabla hujaingia kwenye mahusiano mapya, hakikisha sababu zinazokuingiza kwenye mahusiano hayo ni sahihi.
Sio unatongozwa tu, unakubali hata bila kujua unakubali nini. Utaishia kumegwa, unakuwa frustrated unaanza kusaka mchawi.
Unajiroga mwenyewe kwa kuanzisha mahusiano unstable huku ukitarajia ndoa.
naomben msaada wa mawazo
sijui nifanyeje mwanzo nilikua natabia ya kuota nasex na mwanaume lakin ninakama mwaka naota nasex na mwanamke mwenzangu nimejaribu kuomba hali hiyo inapotea kama cku 2 inarudi tena!!! hii imenipelekea kuvuruga mahusiano yangu mengi..... ninaweza pata mchumba tukavuragana bila sababu ya msingi hata kama tutakua tumetambulishana hata kutolewa mahari
nimekua na bahati ya kupata wachumba lakini mambo yamekua yakivunjika bila hata sababu yoyote
Ndugu naombeni msaada wa mawazo hata ushauri pia kweli ninatatizo sana nashindwa nitoke vp nitashukuru
Ina maanisha kuwa yule Msichana (Spirit Ghost) Mizimu yake inamtembelea huyo binamu wako mwambie aende kwenye kaburi la huyo msichana akamuombee dua kisha aseme hivi (kaa hapo ulipo na tulizana kwa amani usinifuate tena) aseme mara 3 kisha atoke hapo kaburini asigeuke nyuma tafadhali Kim nanaMziziMkavu Binamu yangu alikuwa na uhusiano na msichana mmoja hivi...mwishoni mwa mwaka jana yule msichana alifariki...na jana binamu amenisimulia kuwa amemuota yule msichana amekuja kumfanyia vurugu akihoji kwa nini ana mwanamke mwingine!
Hii ina maana gani pliiiz
duh!!! naona umeamua kumkomalia huyu dogo!! alikuingilia nini?
Ina maanisha kuwa yule Msichana (Spirit Ghost) Mizimu yake inamtembelea huyo binamu wako mwambie aende kwenye kaburi la huyo msichana akamuombee dua kisha aseme hivi (kaa hapo ulipo na tulizana kwa amani usinifuate tena) aseme mara 3 kisha atoke hapo kaburini asigeuke nyuma tafadhali Kim nana
lakini mi nimeomba msaada wa mawazo na ushaur pia hata ww unaweza kunishaur
acha kulala unawaza ngono.
Kabla hujaingia kwenye mahusiano mapya, hakikisha sababu zinazokuingiza kwenye mahusiano hayo ni sahihi.
Sio unatongozwa tu, unakubali hata bila kujua unakubali nini. Utaishia kumegwa, unakuwa frustrated unaanza kusaka mchawi.
Unajiroga mwenyewe kwa kuanzisha mahusiano unstable huku ukitarajia ndoa.
dizaini kama huamini kuna majini sio, SUBIRI
Naombeni msaada wa mawazo.
Sijui nifanyeje mwanzo nilikua natabia ya kuota na sex na mwanaume lakini ninakama mwaka naota nasex na mwanamke mwenzangu nimejaribu kuomba hali hiyo inapotea kama siku 2 inarudi tena. Hii imenipelekea kuvuruga mahusiano yangu mengi.
Ninaweza pata mchumba tukavuragana bila sababu ya msingi hata kama tutakua tumetambulishana hata kutolewa mahari.
Nimekua na bahati ya kupata wachumba lakini mambo yamekua yakivunjika bila hata sababu yoyote.
Ndugu naombeni msaada wa mawazo hata ushauri pia kweli ninatatizo sana nashindwa nitoke vp nitashukuru
Pole...nenda ukaombewe halaf tafuta mtu awe anakupiga du.du vzr yote yataisha haya...ukikosa nipm nije kusimamia show mwnyw
wee mkaree, umetisha mkuu
Ni kawaida sitishi ninasema ukweli hayo matatizo yapo kwa binadamu.Mmmh Mzizi Mkavu umetisha respect kwako daaa hadi meogopa