Je hii kauli ya "2015 ni zamu ya Wazanzibar" ina mkono wa JK?

Haina mkono wa mtu bali ndio hali halisi wabara tuache kujipenda kupita kiasi,huu ni muungano wa nchi mbili wenzetu wametuvumilia mara mbili,kwa mkapa na kwa huyu kikwete tuwe waungwana this time na wao wakikalie iko kiti then kitarudi bara tena tatizo liko wapi...
 
Hiyo ni kauli ya OIC, nchi ya kiislam lazima iwe na rais mwislam. siyo zamu hii tu bali na ingine na ingine na ingineeeeeeee........... isipowezekana basi lazima vita kudai maslahi ya waislam. alshaababi oye!!!, bokoharam oyeee!!!!!!
 
Hiyo ni kauli ya OIC, nchi ya kiislam lazima iwe na rais mwislam. siyo zamu hii tu bali na ingine na ingine na ingineeeeeeee........... isipowezekana basi lazima vita kudai maslahi ya waislam. alshaababi oye!!!, bokoharam oyeee!!!!!!

upotoshaji jazz band...........
 
Haina mkono wa mtu bali ndio hali halisi wabara tuache kujipenda kupita kiasi,huu ni muungano wa nchi mbili wenzetu wametuvumilia mara mbili,kwa mkapa na kwa huyu kikwete tuwe waungwana this time na wao wakikalie iko kiti then kitarudi bara tena tatizo liko wapi...

Kuna tatizo moja hapa, imeanza kujitokeza hali ya "Watanganyika" kutotaka kutawaliwa na Wazanzibari. Kuna Sababu nyingi me naitasema chache ninazoziona.

1. Kuna uzalendo wa "Kitanganyika" wa wazi wazi ulioanza kujionyesha.

2. Katiba mpya ya Znz na madaraka makubwa waliyompa Rais wao. Kwa "Tanganyika" sasa hivi tofauti kati ya Rwanda na Zanzibar ni Ndogo sana. Muungano umekuwa irrelevant.

3. Kauli na matusi kutoka Visiwani. Kila mtu kutoka visiwani analalamika kuhusu muungano, mara tunawanyonya, mara tumerudisha nyuma, Zanz ilikuwa better than Tanganyika etc etc. Watatuongozaje watu wa aina hii? Watu wa aina ya Jussa wakiteuliwa kutoka ZNZ waje kuniongoza mimi! Never..

4....

5....
 
Ukweli katika kauli hii ni kwamba kwa sasa watanganyika wameshafahamu wazi kuwa walipaswa kuwa na nchi yao (Tanganyika) kwa hiyo kuwa na rais ambaye si mzawa wa nchi hiyo kwa sasa litakuwa jambo gumu sana.
 
Katiba ya Zanzibar inasema hii ni NCHI na mipaka yake imeainishwa mle. Sio rahisi raia wa nchi nyingine kuvuka mipaka ya nchi yake kwenda kutawala kungine.

Jana pale Amani kulikuwa na bendera zaidi ya nne zikipepea na JMK wetu na wabara wengine walionekana ni waalikwa kutoka nchi nyingine!
 
kuna tatizo moja hapa, imeanza kujitokeza hali ya "watanganyika" kutotaka kutawaliwa na wazanzibari. Kuna sababu nyingi me naitasema chache ninazoziona.

1. Kuna uzalendo wa "kitanganyika" wa wazi wazi ulioanza kujionyesha.

2. Katiba mpya ya znz na madaraka makubwa waliyompa rais wao. Kwa "tanganyika" sasa hivi tofauti kati ya rwanda na zanzibar ni ndogo sana. Muungano umekuwa irrelevant.

3. Kauli na matusi kutoka visiwani. Kila mtu kutoka visiwani analalamika kuhusu muungano, mara tunawanyonya, mara tumerudisha nyuma, zanz ilikuwa better than tanganyika etc etc. Watatuongozaje watu wa aina hii? Watu wa aina ya jussa wakiteuliwa kutoka znz waje kuniongoza mimi! Never..

4....

5....

hii hali ya watanganyika kutotaka kutawaliwa na wazenj imeanza baada ya sisi wabara kuwatawala jamaa kwa awamu mbili mfululizo au?
 
katiba ya zanzibar inasema hii ni nchi na mipaka yake imeainishwa mle. Sio rahisi raia wa nchi nyingine kuvuka mipaka ya nchi yake kwenda kutawala kungine. Jana pale amani kulikuwa na bendera zaidi ya nne zikipepea na jmk wetu na wabara wengine walionekana ni waalikwa kutoka nchi nyingine!

nyie mnataka kuleta ujanja tu ili mkalie hiki kiti kwa mara ya tatu mfululizo kwani hayo hamkuyajua mlipokuwa mnaingia kwenye muungano,mbona kila wakidai haki sawa ndio mnakuja na hoja hizo? Kwanini ?HALI ILIYOKUWAEPO PALE AMAN JANA IMEKUWA HIVYO FOR YEARS HAIJAANZA JANA BAADA YA WAZANZIBARI KUKUMBUSHIA KWAMBA NA WAO SAFARI HII WAKALIE KIDOGO IKO KITI KWA NINI LAKINI MNATAKA KUKAA PEKEENU?
 
nyie mnataka kuleta ujanja tu ili mkalie hiki kiti kwa mara ya tatu mfululizo kwani hayo hamkuyajua mlipokuwa mnaingia kwenye muungano,mbona kila wakidai haki sawa ndio mnakuja na hoja hizo? Kwanini ?HALI ILIYOKUWAEPO PALE AMAN JANA IMEKUWA HIVYO FOR YEARS HAIJAANZA JANA BAADA YA WAZANZIBARI KUKUMBUSHIA KWAMBA NA WAO SAFARI HII WAKALIE KIDOGO IKO KITI KWA NINI LAKINI MNATAKA KUKAA PEKEENU?

Yaani tupoteze miaka kumi kwa sababu hiyo hapo juu? Ze last taim tulipotumia vigezo vya ajabu ajabu kama hicho ulichotaja kilichotokea wote ni mashahidi.

Mimi sitampigia mtu kura eti kwasababu anatoka sijui wapi, oh kwasababu huko sijui wapi hawajakalia kiti muda mrefu, NO! Na kama CCM watamsimamisha mtu kwa kigezo hicho, mbona oltenativu zipo nyingi?
 
Basi ikiwa hivyo safari hii rais wa Zanzibar atoke Tanganyika. Kulingana na katiba ya Zanzibar "Zanzibar ni nchi. Iweje raia wa nyingine akalie kiti nchi nyingine? We need Tanganyika government back kabla hatujafikiria kupokezana uraisi wa muungano.

After all hatutakiwi kumchagua mtu kwa utanganyika au uzanzibar wake ila kwa kuwa anafaa kutuongoza regardless anatoka zanzibar au tanganyika. Ni mtazamo wangu.
 
let ability be the quality of our president...
imeshatucost paka saiv kwa kuchagua rais kwa sababu za usoni
 
Mara zam ya kina mama(migiro).mara zanziba yote ni tu awe muislam.mi nami nasema tupokezane kwa dini zetu.ni wakati wa wakristu.hata akitokea zanziba awe mkristu.nyie mafirauni mnataka mpange safu yenu ya magaidi tanzania.ona znz viongozi wote magaidi.shein kashindwa hata kumweka mkistu hata mmoja.bora garika liangamize nchi kuliko kuona tunatawaliwa na vichwa madafu
 
Jamani mbona mzee wetu na baba wa taifa letu alishatufundisha jinsi ya kumchagua rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania. Nawakumbusha hapa "tusimchague mtu kwa uzanzibari wake au utanganyika wake. Tukifanya hivyo basi tutakuwa tumekiuka miiko na tumekaribisha dhambi ya ubaguzi" hapa yatupasa tumchague mtu kwa uwezo wa kiuongozi na si sifa nyingine.

Hivi hawa viongozi wetu huwa wanamuenzi mwalimu jk kwa lipi? Mboona kwa hili mwalimu alishatupa muongozo? Tuache ubaguzi jamani, hapa tuangalie sifa tu na wala si uzanzibar au utanganyika. Mbona tunapenda sana kujadili vitu visiokuwa na maslahi kwa taifa letu? Mnataka kuniambia matatizo tulionao sasa kama taifa dawayake ni kuwa na rais mzanzibar? Jamani tubadilike kifikra na kiakili pia. Tuache kuwa na fikra chakavu na hulka ya kibaguzi.
 
Kama ni hivyo na sie wabara zamu yetu kuwa rais wa zanzibar,huyu rais wa huku ni wa JMT(si tunamchukulia kama Rais wa Tanganyika aka Tanzania Bara)
 
kuna mkrsito mwanasiasa wa kuwa rais znz? maana sasa ni zamu ya mkristo hakuna cha zamu ya zanzibar wala nini condition ya kwanza awe mkristo aliyempokea yesu kama mwokozi wa maisha yake!
 
Kuna tatizo moja hapa, imeanza kujitokeza hali ya "Watanganyika" kutotaka kutawaliwa na Wazanzibari. Kuna Sababu nyingi me naitasema chache ninazoziona.

1. Kuna uzalendo wa "Kitanganyika" wa wazi wazi ulioanza kujionyesha.

2. Katiba mpya ya Znz na madaraka makubwa waliyompa Rais wao. Kwa "Tanganyika" sasa hivi tofauti kati ya Rwanda na Zanzibar ni Ndogo sana. Muungano umekuwa irrelevant.

3. Kauli na matusi kutoka Visiwani. Kila mtu kutoka visiwani analalamika kuhusu muungano, mara tunawanyonya, mara tumerudisha nyuma, Zanz ilikuwa better than Tanganyika etc etc. Watatuongozaje watu wa aina hii? Watu wa aina ya Jussa wakiteuliwa kutoka ZNZ waje kuniongoza mimi! Never..

4....

5....

Mara kadhaa nimekuwa nikipata kushawishika kwamba kutokana na kelele za wazanzibari na hasa hawa wanaotukana viongozi wetu wa upande wa Tanganyika, ni muda muafaka kuuvunjilia mbali huu muungano ili kila mmoja achukue hamsini zake. Naamini kwamba Tanganyika itakuwa nchi bora sana bila wazanzibari.

Lakini kwa upande mwingine nikijaribu kuwatazama wazanzibari, jinsi wanavyobaguana wenyewe kwa wenyewe, waunguja kujiona superior kwa wapemba, na nikikumbuka fukuto la wapemba kudai nchi yao ya pemba, ninapata shaka juu ya mustakabali wa uwepo na umoja wa wazanzibari nje ya muungano, nakubaliana na maneno ya baba wa taifa kwamba nje ya muungano hakuna wazanzibari, kuna wapemba na waunguja!!

Na nikijaribu kuwatazama hawa wazanzibari waliojazana huku Tanganyika nashindwa kufahamu hatma yao kama muungano ukivunjika. Ni heri tuendelee na huu muungano ili kulinda ustawi wa wazanzibari kwa pamoja, ingawa watanganyika tutaendelea kuwabeba na kuwavumilia na matusi wanayotutukana.

Back to the topic, uraisi wa Tanzania hauwezi kuzungushwa toka bara kwenda zanzibar. Kama kuna mzanzibari anajiona ana uwezo wakuiongoza JMT anaruhusiwa kuingia kwenye mchakato, si suala la kuachiana ama huruma. Hatuwezi kuiweka nchi rehani ili tu kuwafurahisha watu fulani fulani.
 
Back
Top Bottom