Hiyo ni kauli ya OIC, nchi ya kiislam lazima iwe na rais mwislam. siyo zamu hii tu bali na ingine na ingine na ingineeeeeeee........... isipowezekana basi lazima vita kudai maslahi ya waislam. alshaababi oye!!!, bokoharam oyeee!!!!!!
Haina mkono wa mtu bali ndio hali halisi wabara tuache kujipenda kupita kiasi,huu ni muungano wa nchi mbili wenzetu wametuvumilia mara mbili,kwa mkapa na kwa huyu kikwete tuwe waungwana this time na wao wakikalie iko kiti then kitarudi bara tena tatizo liko wapi...
kuna tatizo moja hapa, imeanza kujitokeza hali ya "watanganyika" kutotaka kutawaliwa na wazanzibari. Kuna sababu nyingi me naitasema chache ninazoziona.
1. Kuna uzalendo wa "kitanganyika" wa wazi wazi ulioanza kujionyesha.
2. Katiba mpya ya znz na madaraka makubwa waliyompa rais wao. Kwa "tanganyika" sasa hivi tofauti kati ya rwanda na zanzibar ni ndogo sana. Muungano umekuwa irrelevant.
3. Kauli na matusi kutoka visiwani. Kila mtu kutoka visiwani analalamika kuhusu muungano, mara tunawanyonya, mara tumerudisha nyuma, zanz ilikuwa better than tanganyika etc etc. Watatuongozaje watu wa aina hii? Watu wa aina ya jussa wakiteuliwa kutoka znz waje kuniongoza mimi! Never..
4....
5....
katiba ya zanzibar inasema hii ni nchi na mipaka yake imeainishwa mle. Sio rahisi raia wa nchi nyingine kuvuka mipaka ya nchi yake kwenda kutawala kungine. Jana pale amani kulikuwa na bendera zaidi ya nne zikipepea na jmk wetu na wabara wengine walionekana ni waalikwa kutoka nchi nyingine!
nyie mnataka kuleta ujanja tu ili mkalie hiki kiti kwa mara ya tatu mfululizo kwani hayo hamkuyajua mlipokuwa mnaingia kwenye muungano,mbona kila wakidai haki sawa ndio mnakuja na hoja hizo? Kwanini ?HALI ILIYOKUWAEPO PALE AMAN JANA IMEKUWA HIVYO FOR YEARS HAIJAANZA JANA BAADA YA WAZANZIBARI KUKUMBUSHIA KWAMBA NA WAO SAFARI HII WAKALIE KIDOGO IKO KITI KWA NINI LAKINI MNATAKA KUKAA PEKEENU?
Kuna tatizo moja hapa, imeanza kujitokeza hali ya "Watanganyika" kutotaka kutawaliwa na Wazanzibari. Kuna Sababu nyingi me naitasema chache ninazoziona.
1. Kuna uzalendo wa "Kitanganyika" wa wazi wazi ulioanza kujionyesha.
2. Katiba mpya ya Znz na madaraka makubwa waliyompa Rais wao. Kwa "Tanganyika" sasa hivi tofauti kati ya Rwanda na Zanzibar ni Ndogo sana. Muungano umekuwa irrelevant.
3. Kauli na matusi kutoka Visiwani. Kila mtu kutoka visiwani analalamika kuhusu muungano, mara tunawanyonya, mara tumerudisha nyuma, Zanz ilikuwa better than Tanganyika etc etc. Watatuongozaje watu wa aina hii? Watu wa aina ya Jussa wakiteuliwa kutoka ZNZ waje kuniongoza mimi! Never..
4....
5....