Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,421
- 40,410
Tulipokuwa wadogo tulikuwa tunaambiwa,'kijana soma kwanza mapenzi yapo tu, muda ukifika utayachezea mpaka utayakimbia/utayakinai'. Kwa sasa tumeshakuwa wakubwa.
Je, haya mapenzi tunayafaidi kama tulivyokuwa tukiyatamani tukiwa bado watoto au yanatuchakaza?
Je, haya mapenzi tunayafaidi kama tulivyokuwa tukiyatamani tukiwa bado watoto au yanatuchakaza?