Je, hapa kuna mapenzi ya kweli?

Je, hapa kuna mapenzi ya kweli?

Ila na kula mzee mtoto Ana nipa chini saana
Na pesa ninayo mpa nikipiga total sio zaidi ya 20000
Mimi kinacho nipa wasiwasi kwanini ataki kuachana na yule jamaa alafu Ana ni ambie niki zidisha mapenzi kwake ndo ata ni penda kweli kweli na kutoka kwa yule jamaa
Hakupendi kwa dhati,anapendwa mwenzako

Afu mwanaume unakubaliaje Ku share,huo ujinga waachie wanawake tu

Case closed.
 
Ila na kula mzee mtoto Ana nipa chini saana
Na pesa ninayo mpa nikipiga total sio zaidi ya 20000
Mimi kinacho nipa wasiwasi kwanini ataki kuachana na yule jamaa alafu Ana ni ambie niki zidisha mapenzi kwake ndo ata ni penda kweli kweli na kutoka kwa yule jamaa
Anampenda jamaa yake ila kwako anakupiga Pesa! First impression is the best impression mwanamke akikutaa the first time like serious jua hujamvutia na wala hatowahi kukupenda!

Siku akikupenda jua atajilazimisha kwa manufaa flani ambayo wengi ni kutaka kuvuna hela tu! Na ndio maana demu ukimlazimishia mahusiano kama hakupendi atakupiga vibomu hati utoke mbio!
 
Anampenda jamaa yake ila kwako anakupiga Pesa! First impression is the best impression mwanamke akikutaa the first time like serious jua hujamvutia na wala hatowahi kukupenda!

Siku akikupenda jua atajilazimisha kwa manufaa flani ambayo wengi ni kutaka kuvuna hela tu! Na ndio maana demu ukimlazimishia mahusiano kama hakupendi atakupiga vibomu hati utoke mbio!

IMG_0447.jpg

Una ona sms zake
 
Back
Top Bottom