Ndugu zangu nimekuja hapa kuomba msaada wa mawazo.
Siku hizi niliachwa na mke wangu, lakini sasa kabla ya kuwa na mke wangu kuna dada fulani ambaye niliwai kumtongoza kipindi cha nyuma akanipiga chini tena kwa kunizarau kinoma.
Nikaona siyo case nikaachana naye, nikatafuta maisha yangu nikaja kukutana na uyo mke wangu aliye nipiga chini nikaendelea na maisha yangu. Lakini tulivyoachana mimi nikaona siwezi kaa bachela na wakati mimi nimezoea kuwa na mke.
Nikaona acha kwanza nijaribu yule sister niliyewahi kumtongoza zamani. Nilienda demu akasema hawezi kubali mtu ambaye ana mke. Nikamuelezea hali halisi akasema mbele ya kunikubali atachunguza kwanza, akigundua ninachomuambia ni kweli ndo atanipa jibu. Na kweli akachunguza akakuta ni kweli akanikubali.
Sasa baada ya mimi kuwa naye kwenye mahusiano naona mapenzi yake yanakuja na kasi kweli kweli. Mimi sijali naye, yaani nina mpenda na huku nina mashaka naye kabisa.
Alinipa ukweli wake kabla ya kuwa naye kwenye mahusiano Aliwai kuniambia kuna kijana ambaye wako naye kwenye mahusiano kabla yangu, lakini akaniambia kuwa mimi ndo nina nafasi kubwa kwake ikiwa nitamjali na kumthaamini saana na kumuonesha mapenzi ya kweli. Lakini sasa kinachonipa wasiwasi kwake ni kuwa akiwa na shida mimi ndo anakuja kuniambia. Nikikumbuka hata mke wangu tabia hii alikuwa nayo.
Sasa ndugu zangu apo kweli kuna mapenzi ya kweli au vipi maana
Najiuliza kwa zarau zote alizonionyesha mwanzo iweje anipende kirahisi hivyo?
Au kufuata pesa tu?
Siku hizi niliachwa na mke wangu, lakini sasa kabla ya kuwa na mke wangu kuna dada fulani ambaye niliwai kumtongoza kipindi cha nyuma akanipiga chini tena kwa kunizarau kinoma.
Nikaona siyo case nikaachana naye, nikatafuta maisha yangu nikaja kukutana na uyo mke wangu aliye nipiga chini nikaendelea na maisha yangu. Lakini tulivyoachana mimi nikaona siwezi kaa bachela na wakati mimi nimezoea kuwa na mke.
Nikaona acha kwanza nijaribu yule sister niliyewahi kumtongoza zamani. Nilienda demu akasema hawezi kubali mtu ambaye ana mke. Nikamuelezea hali halisi akasema mbele ya kunikubali atachunguza kwanza, akigundua ninachomuambia ni kweli ndo atanipa jibu. Na kweli akachunguza akakuta ni kweli akanikubali.
Sasa baada ya mimi kuwa naye kwenye mahusiano naona mapenzi yake yanakuja na kasi kweli kweli. Mimi sijali naye, yaani nina mpenda na huku nina mashaka naye kabisa.
Alinipa ukweli wake kabla ya kuwa naye kwenye mahusiano Aliwai kuniambia kuna kijana ambaye wako naye kwenye mahusiano kabla yangu, lakini akaniambia kuwa mimi ndo nina nafasi kubwa kwake ikiwa nitamjali na kumthaamini saana na kumuonesha mapenzi ya kweli. Lakini sasa kinachonipa wasiwasi kwake ni kuwa akiwa na shida mimi ndo anakuja kuniambia. Nikikumbuka hata mke wangu tabia hii alikuwa nayo.
Sasa ndugu zangu apo kweli kuna mapenzi ya kweli au vipi maana
Najiuliza kwa zarau zote alizonionyesha mwanzo iweje anipende kirahisi hivyo?
Au kufuata pesa tu?