Jana nilimsikia Mhe. Rais alipo kuwa ana waapisha Mawaziri walio teuliwa kuwa viongozi wote wanao wajibu wa kuzingatia viapo vyao na kuzingatia katiba Ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na pia kuchunga mipaka yao lakini pia kuzingatia kiapo cha maadali kwa kutunza siri.
Mara kwa mara inaonekana baadhi ya viongozi walio teuliwa na Rais wamekuwa wakikiuka viapo vyao, sasa je? hakuna namna ya kuwachukulia hatua za kisheria kama vile kufikishwa mahakamani zaidi ya kuwatumbua?
kama kuna sheria inayo weza kuwafikisha mahakamani nashauri itumike sasa ili kuondoa tatizo hili au kama hakuna basi Bunge letu liangalie namna ya kutunga sheria ili kuwathibiti viongozi watukutu.
maana sisi wananchi tumechoka kuona Rais wetu anashughulishwa na baadhi ya viongozi wasio taka kuheshimu viapo vyao.
Kama kiapo ni ahadi ya kisheria, sasa hao wanao apa kiapo cha kutunza siri halafu baadae wanakiuka kiapo ndio iishie tu kuwatumbua? hakuna namna ya kuwachukulia sheria.
Mara kwa mara inaonekana baadhi ya viongozi walio teuliwa na Rais wamekuwa wakikiuka viapo vyao, sasa je? hakuna namna ya kuwachukulia hatua za kisheria kama vile kufikishwa mahakamani zaidi ya kuwatumbua?
kama kuna sheria inayo weza kuwafikisha mahakamani nashauri itumike sasa ili kuondoa tatizo hili au kama hakuna basi Bunge letu liangalie namna ya kutunga sheria ili kuwathibiti viongozi watukutu.
maana sisi wananchi tumechoka kuona Rais wetu anashughulishwa na baadhi ya viongozi wasio taka kuheshimu viapo vyao.
Kama kiapo ni ahadi ya kisheria, sasa hao wanao apa kiapo cha kutunza siri halafu baadae wanakiuka kiapo ndio iishie tu kuwatumbua? hakuna namna ya kuwachukulia sheria.