Je, GEORGE KAHAMA na ANDY YOUNG wamegombana?.. Will IKULU Intervene?!

Kwa aliyeanzisha maada hii, wachangiaji wote katika mada hii na wana JF kwa ujumla.

Ninawashukuru kupita kiasi kwa ukweli na elimu mliyonipa katika hili jambo. Hili ni jambo kubwa na nyeti sana na bila kuficha linaumiza kichwa kwani ni hatari kubwa kwa nchi yetu.

Mwisho napenda kuwaomba tuendelee kuchangia maada hii kwa dhati huku tukizingatia maadili na miiko yetu, kwa maana kwamba hakuna sababu ya kutumia lugha chafu.

Mbarikiwe sana
 
Kwa aliyeanzisha maada hii, wachangiaji wote katika mada hii na wana JF kwa ujumla.

Ninawashukuru kupita kiasi kwa ukweli na elimu mliyonipa katika hili jambo. Hili ni jambo kubwa na nyeti sana na bila kuficha linaumiza kichwa kwani ni hatari kubwa kwa nchi yetu.

Mwisho napenda kuwaomba tuendelee kuchangia maada hii kwa dhati huku tukizingatia maadili na miiko yetu, kwa maana kwamba hakuna sababu ya kutumia lugha chafu.

Mbarikiwe sana

Nakubaliana na wewe Mtambo

Nimeona jinsi gani wametoka nje ya mada kuu....sitaki kuhukumu, ila it seems Mheshimiwa Mkandara ana bias na huyo Andy Young, tatizo ni kwamba alishawahi kukutana naye, so sio rahisi awe rational pale inapotokea any controversy about/against him.

Please napendekeza tungerudi kwenye mada.....kuna issue ya maana hapa we dont have to loose focus.....
 
Kuhusu Sir George Kahama:
Ni 'sir' kweli si uwongo.
Knighthood alipewa na vatican kutokana na mchango wake mkubwa kwa kanisa.
Skendo ya Mzee Kahama ni kwamba mke wake wa sasa ni mdogo wake mke wake wa kwanza.
It is a secret that's difficult to hide maana sisi tuliokula chumvi tunaikumbuka hii skendo. Na kwa muda mrefu huyu mzee alikuwa hapokei kommunio lakini alikuwa mfadhili mzuri sana wa kanisa mpaka Cardinal alipendekeza Vatican apewe knighthood, madhambi yakasamehewa na ndoa yao ilibarikiwa
Hakuna anayemwogopa it's just that mzee huyu ni discreet, na ni ngumu kupata story zake.
Lakini wamewekeza sana hata health insurance company moja ya Bongo ni ya kwao, wana hisa katika Gold mines na also binti yake aliyemwoa mtoto wa Rupia yuko kwenye kampuni ya IT inayotaka kujenga undersea fiber optic cables hapa Eastern Southern Africa.
So the family is wealthy sana, na Canada wana nyumba and other assets.
 
USA has been propagated as "The Land of Opportunity" and what would you expect the US citizens to be? simply, "Opportunists".

Do not expect brotherhood from them, not in ethnicity background nor in religious background. As you may note, Stith, Andy Young, ain't they working under the disguise of religion?

To me Andy Young is whiter than whites, technically.
 
Nakushukuru sana kwa weka wazi huo mtandao, na kwakweli umeufanyia kazi. Hongera sana.

Nilichokiona kwenye nondo zako ni kuwaponda makundi yote mawili (Andy Young na Sir George!). Nakubaliana na wewe wenye historia ya utapeli, mikataba feki na ufisadi wasikumbatiwe.

Mchango wangu mimi uko katika pointi zifuatazo:
1. Kwenye thread nyingine ya Uchumi wa TZ, tunajadili wananchi kupata nguvu za kiuchumi.
2. Wawekezaji wote duniani wanaowekeza nje ya nchi zao wanajua kuwa ni lazima kupata "baraka" za wanasiasa wa nchi wanayotaka kuwekeza. Baraka hii ni pana saaaana. Inaweza kumaanisha ni pesa kwenye akaunti za uswisi, hisa kwenye kampuni, nafasi za kazi n.k
3. Uzoefu wa mikataba ya wawekezaji katika sekta ya madini na nishati. Mmhhh

CHANGAMOTO NI KALI SANA
 
Waungwana,
In the wake of Chenges "vijisenti" comment, nafikiri kuna haja ya kuzifanyia tena kazi hizi topic moto-moto kama hii ya mkuu GT aliyoileta mwaka jana. Kama Chenge aliweza kuwa na kiburi cha kuidharau $1,000,000, hebu tufikirie ni kiasi gani kitakuwa kimechukuliwa na hawa wakulu wengine waliokuwa na madaraka kwenye wizara na idara mama kama Maraisi Mkapa na JK, Ofisi ya Raisi, wizara za Fedha, MOFA, Madini, Nishati, Mawasiliano, BOT, JWTZ, TISS, TPDC n.k. Hebu tuchangie tena kwenye hisi ili nazo zipasuke kama ilivyokuwa kwenye Richimond na Radar.



George Kahama pamoja na akina Rupia ni moja kati ya ma UNTOUCHABLES bongo na wamekuwa immune for such a long time humu JF

Anyway kama mnavyojua kuwa yule bibie kwa jina la JILL amekuwa akiwaendesha puta maofisa wa Ikulu kutaka apewe special access to JK na kuna taarifa kuwa alifanikiwa kuipata namba ya JK ambayo hata mimi ninayo na mwanakijiji anayo vile vile hivyo siyo siri lakini JK amekuwa hataki kuwa involved moja kwa moja na mambo haya bila washauri wake kumwambia details zinaendaje.

Lakini kuna tatizo lingine ambalo limeibuka out of no where...

Mnavyojua akina KAHAMA walikuwa wako very prominent katika mining industry ya Bongo kwa kutumia influence yao na ndio walio wa-accomodate wale Wa-Canada in the 1990's

Kisha kuna kipindi wakawa wako close na hao GOODWORKS ambao kwa kweli credit anapea huyo Mchungaji Charles Stith.
LG18356.jpg


I have managed to connect the dots na kujua kwanini JILL amekuwa halali ma jisimu isio na wakati maalum

SABABU NI HUYU BWANA:

friedman.jpg

Ana itwa BRENT SCOWCROFT na ni:

hebu soma hapa: http://www.scowcroft.com/index.htm


WEST POINT undergrad
COLUMBIA postgrad & PHD
MORMON
INTERNATIONAL RELATIONS SPECIALIST
NATIONAL SECURITY ADVOSOR to: current Bush and Ford,

Bila kusahau kazi yake nyingine alikuwa ni Chairman wa President's Foreign Intelligence Advisory Board ambayo katika mission statement yake inasema ni:


Kisha wanaendelea kusema:

source: http://www.whitehouse.gov/pfiab/

Personally nishawahi kumuona huyu mzee SCOWCROFT akizungumza katika duru za mambo ya Kimataifa lakini it never came to my mind kuwa atakuja kuwa prominent bongo kwani nilijua huyu ni mmoja kati ya wale ma architects wa vita kule Iraq.

In short jamaa ni beyond CIA na kampuni yake hii ambayo haina haja ya kupiga hodi kuingia IKULU ni manyoka watupu ambao wameletwa na mheshimiwa GEORGE KAHAMA na hilo ndilo tatizo kubwa linalomkosesha usingizi bwana ANDREW YOUNG ambaye alidhani anaweza kutumia charm na black brotherhood kupata access na kazi toka kwa JK. Sasa looks like CIA aka "THE COMPANY" are in town na access ya IKULU wanayo na sitoshngaa kama JK atakuwa hawapigii wao simu badala ya wao kumtafuta.

GEORGE KAHAMA kawaingiza Tanzania na washasaini mkataba kwa kutumia nafasi yake kama Advisor wa Tanzania Chamber of Energy &Minerals na vile vile kama member wa Tanzania National Business Council na post yake kama post of vice-president of the Tanzanian Royalty Exploration Corp ,

Kutokana na maelezo katika website yao, akina SCOWCROFT hawasemi mengi sana na inawezekana ikawa akina Kahama waliaambia wasifanye makosa kama akina GWI ambayo yameibua maswali mengi kuliko majibu.

Sasa hawa TANZANIA ROYALTY wamewanyima tenda akina Andy Young na wakaamua kuwapatia hawa akina SCOWCROFT GROUP ambayo ni ya mheshimiwa pichani hapo juu. Cha ajabu ni kuwa akina Andy Young walipata vijikazi kule Ghana kwa kumtumia Walter Kansteiner ambaye alikuwa ni Assistant Secretary for African Affairs and currently board member of Jean Raymond Boulle.

Sasa quick search yangu nimegundua kuwa hao Jean Raymond Boulle


Nikapata hili:

http://www.swtriallaw.com/att-werbner/jean-raymond-boulle.html

http://www.globeadvisor.com/servlet/ArticleNews/story/gam/20060508/RTAX08


POINTS OF INTEREST:

1) Hivi kama watu kama hawa wakishapata unprecedented access na ofisi yetu kubwa je sisi tutakuwa na la kusema wakitulazimisha mikataka mingine mibovu?

2) SCOWCROFT group kama kampuni haikatazwi lakini kutokana na nature ya kampuni yeyenyewe what makes you think our national security will not be compromised?

3) Ndio tunataka ma investors lakini at what price? And who will pay that price? Hivi Mheshimiwa MBUNGE kama GEORGE KAHAMA yuko tayari ku compromise our national security kwa sababu ya njaa yake what makes you think wafanyakazi wa chini watashindwa ku-leak mambo kwenye internet?

4) Role ya FOREIGN ni kui-advice serikali katika mambo haya japo TCCIA wanaweza wakawa hawana objection lakini hii inanifanya ni conclude yafuatayo:

a) RADHIA MSUYA ambaye ni mkuu wa kitengo cha NORTH AMERICA & EUROPE pale either alikuwa nawajua hawa lakini akaamua kukaa kimya au walipeleka assessment yake lakini wakaamua kumdharau

b) RASHID OTHMAN inawezekana alipeleka intelligence estimate ya hawa SCOWCROFT lakini IKULU waliamua ku overule kwa hiyo inawezekana hii ikawaondoa Usalama wa Taifa from this web

c) UBALOZI wetu DC someone is or is not doing his job properly na kama ulifanya then katika chain of command kuna walakini

d) BENARD MEMBE kama mtu niliyekuwa ninamtegemea angeweza kuweka hili wazi naye inaonekana amekuwa overruled na IKULU ambako in the wake of recent scandals kuanzia Jenereta la Richmond to Benki kuu wameprove kuwa ni ma incompetents na hawaji na majibu straight kwa walipa kodi na in other words they are out of touch with the reality on the ground.

5) Je nani anafanya vetting ya hizi kampuni zinazoingia Tanzania? Je KAHAMA kama mtu ambaye alikuwa serikalini kwa muda mrefu je anayo 'our national interest at heart' au kwake muhimu ni pesa tuu?

6) Tatizo siyo hizi kampuni bali ni web of secrecy ambazo zina-operate Tanzania and I have a belief kuwa hii inatokana na jinsi walivyo free kufanya walitakalo na serikali yetu inaonekana kuwa imejaa rushwa. Japo wanaona kuwa hawapati bad press internationally lakini this cannot last for long in my opinion

Last but not least washauri wa JK katika masuala ya UCHUMI ni wachemshaji wakubwa mno. Kila mtu anajua hakuna serious African American investor wa kuinvest Bongo kama wangekuwepo basi huyo MCHUNGAJI STITH angewaleta tangu mid 90's
 
Duh! Usishangae sana wana JF kuwa kimya, kitu ulichotoa ni muhimu na hapa ndipo unaweza kututambua na sisi kujitambua. Nchi imeshauzwa na kinachotakiwa ni kuacha kupiga soga na kuwaonesha wengine namna inavyopaswa kuwa.

Mikataba hiiikimalizika katika natural resource we have basi tutageukiwa sisi human resources na hapa kila kitu kitakamilika, yaani watawala wetu kugeuka watumwa.


Tanzania itajengwa na wenye moyo wa Tanzania
 
KINA SINCLAIR NDIO WENYE NGUVU KULIKO BUNGE SIO? WANAPATA REPORT KABLA YA BUNGE HARAFU TUNAAMBIA NYARAKA ZA SERIKALI


Bomani team proposals on mining sector reforms: Ball now in JKs court, says Canadian investor





-Its the president who has the final say�not the committee

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE chief executive officer of a foreign company with vast mining interests in Tanzania, James Sinclair, has sought to assure international investors that President Jakaya Kikwete will not change existing fiscal policies in the sector despite a longstanding public outcry that the nation is not benefiting enough from mining receipts.

Sinclair, chairman and CEO of the Canadian-based Tanzanian Royalty Exploration Corporation, also states that he has already had access to the recommendations of the final report of the mining sector review committee chaired by retired judge Mark Bomani - just days after the report was actually submitted to president Kikwete himself.

Making the statements via his companys website, Sinclair furthermore declared that he was not worried about the future.

Bomani and other members of the committee presented the final report to president Kikwete at State House in Dar es Salaam on May 24 this year, and six days later (May 30) came Sinclairs website statement where he says in black and white:

Ive had the privilege of reviewing the (Bomani) committees recommendations - along with comments from the (Tanzania) Chamber of Mines - and have no serious issues with them. Whats important to know, however, is that the man who will make the final decision on the recommendations is the president - not the committee.

He continues: President Kikwete is an extremely knowledgeable and capable man who will do nothing to disturb the balanced fiscal policies that have produced enormous growth in Tanzanias economic base, most of it fuelled by international investors.

Sinclairs latest statement comes on the back of reports that the fourth phase government under Kikwete is gearing up towards sweeping reforms intended to ensure a win-win situation for both Tanzania as a nation and private companies operating mining projects in the country.

The Bomani committee was formed by the president himself late last year with the mandate to review all contracts currently pertaining to the sector, and advise the government accordingly. This is also interestingly stressed in Sinclairs statement, as follows:

President Jakaya Kikwete of Tanzania formed a committee last year to review the countrys Mining Law. This body has a name that describes its mission and limitations: The Presidential Committee to Review and Advise Government on Management of the Mineral Sector.

The Tanzanian Royalty Exploration boss also said he was confident the Bomani committees recommendations were focused on improving the conditions and privileges of (mining) exploration companies.

He further claims on the companys website that president Kikwete has been a close friend of his for more than 20 years now.

Tanzanian Royalty Exploration is a publicly-traded financial gold company whose stated business strategy is to acquire royalty interests in gold production from its core assets in the Lake Victoria greenstone belt (LVGB) of Tanzania, where a reported 40 million ounces of gold have been discovered since the mid-1990s.

Tanzanian Royalty ranks among the largest landholders in the LVGB - one of the most prolific goldfields in the world, the company says on its website, listing several multinational mining firms it has negotiated royalty agreements with in Tanzania, including Barrick Gold, AngloGold-Ashanti, and Northern Mining Explorations.

It is reported that by mid-2005, Tanzanian Royalty Exploration held a total of 138 prospecting licences in the Lake Victoria goldfields.

In February this year, Joseph Kahama was appointed a director of Tanzanian Royalty Exploration Corporation, after serving as senior vice-president of the corporation since July 2007.

Kahama also served as president and director of the companys wholly-owned subsidiary, Tanzania American International Development Corporation 2000 Limited (Tanzam 2000), since 1997. In his capacity as president of Tanzam 2000, Kahama was responsible for corporate administration and also for maintaining good relations with government, vendors, and the companys various business partners in Tanzania.
 
Mheshimiwa B.M inadaiwa anahusishwa na ana hisa za moja kwa moja na kampuni moja ya kichina inayojihusisha na utafiti wa mafuta iitwayo BGP inafanya tafiti zake ukanda wa kusini. Ufisadi everywhere wewe ni kuiba atleast usionwe ndivyo ilivyo. Mtwara kuna kampuni ya kuzalisha umeme nayo ni ya waCanada iitwayo ARTUMAS hawa jamaa wanazalisha umeme lakini in the long run ni mafisadi kupindukia wanaofunikwa na viongozi wa serikali. Inasemekana baada ya kuchimba hizo gesi waligundua visima vyetu vinapandisha mafuta juu(CRUDE OIL) wakaamua wasafirishe sample huko kwao sasa baada ya kugundua mafuta yetu yana kiwango cha juu likawa linakuja Meli sasa inamapia shehena ya mafuta kigezo ni hicho hicho wanakwenda kuyafanya utafiti mchezo ukawa ni huo mpaka wlipokuja kushtukiwa lakini wakawa wameshakomba sana na ishu ikazimwa kimyakimya. Hii Tanzania ukijaribu kuifikiria sana unaweza kujiua kama sio kulia.
Aliye juu Mpandie hukohuko
 
You Guys, Dont Forget The New World Order (nwo); Its Not A Myth, It Is A Reality Wadugu.........

Kama Mnabisha Angalieni Vizuri Rwanda And Anglonization And Then Wait For Zambia And Malawi.

We Just Happened To Be A Soft Port Of Entry, Everything Is Going To Change And New World Is Going To Be In 80-100 Years With New Borders And ...
 
wana jf nisaidieni,sijaelewa hasa huyu scowcroft na andy young na sir george ni biashara gani hasa wanataka kufanya Tanzania? ina uhatari gani?
 
Mheshimiwa B.M inadaiwa anahusishwa na ana hisa za moja kwa moja na kampuni moja ya kichina inayojihusisha na utafiti wa mafuta iitwayo BGP inafanya tafiti zake ukanda wa kusini. Ufisadi everywhere wewe ni kuiba atleast usionwe ndivyo ilivyo. Mtwara kuna kampuni ya kuzalisha umeme nayo ni ya waCanada iitwayo ARTUMAS hawa jamaa wanazalisha umeme lakini in the long run ni mafisadi kupindukia wanaofunikwa na viongozi wa serikali. Inasemekana baada ya kuchimba hizo gesi waligundua visima vyetu vinapandisha mafuta juu(CRUDE OIL) wakaamua wasafirishe sample huko kwao sasa baada ya kugundua mafuta yetu yana kiwango cha juu likawa linakuja Meli sasa inamapia shehena ya mafuta kigezo ni hicho hicho wanakwenda kuyafanya utafiti mchezo ukawa ni huo mpaka wlipokuja kushtukiwa lakini wakawa wameshakomba sana na ishu ikazimwa kimyakimya. Hii Tanzania ukijaribu kuifikiria sana unaweza kujiua kama sio kulia.
ninachofahamu GBP ni ya mwarabu mmoja anaitwa Badr yuko pale kurasini na ni trader wa mafuta,au miliki imebadilika?
 
YuornameisMINE,
Sawa mkuu ujumbe wako umefika naheshimu mawazo yako na ndio maana wewe una dini yako na mimi yangu vilevile pamoja na kwamba sote ni wamoja....
Tukianza kuchambua imani ya kila mmoja wetu sidhani kama tunaweza pata suluhu.

Pili, nadhani hii ni mada na kila mmoja wetu anayo haki yake kimsingi kueleza yale anayoyafahamu ama kuyaamini nje ya hapo pinga kwa hoja. wapi nimesema uongo ama kupotosha ama anzisha hoja fulani inayopingana na hoja yangu.

Tatizo lako unashindwa kuelewa kuwa, hawa akina Young wanasema kile wasichokitenda. What they preach is different to what they implement. Badilika uende na wakati.
 
Nchi ilishauzwa zamani tangu tuanze kuwakaribisha wawekezaji baada ya miaka 20 ijayo tutabaki hatuna chochote.... hata tupige kelele makoo yetu yakauke hakuna atakaye tusikia....

" KILO CHA SAMAKI MACHOZI YANAKWENDA NA MAJI...."

N i Wachache wenye uchungu na nchi yao wakisema hawasikilizi ni " SAMAKI AKITAKA KUSEMA MDOMO UMEJAA MAJI"
 
Thank you madilu you said what i would like to say but do not dare. Kifupi Huyo balozi alikuwa na Lukaza walitaka kufanya huo mradi pamoja kwa hiyo walikuwa wanataka kutumia hela za EPA. Sullivan hakomenegedi sawa sawa tunasikia ni matapeli. Sr Kahama ni tajiri mkuu na nafikiri hana uzalendo. Wajukuu wake wanazaliwa kanada ili waweze kumiliki zote walijilimbikizia za madini. Mtoto wa Sinclair anahama nchi anakwenda South Africa sijui kwa nini analia nafikiri kuna sababu chunguzeni.
 
is the war for Africa independece over or are athe fighters all gone old? are there no young leaders who can fight for Africa? or are we now all on the side of non africans? assisiting them on fighting for their country?
 
Sinclair ana mgroom Kahama kuwa President wa Tanzania mbeleni..

Lets be realistic, Sir GEORGE KAHAMA to become TZ president at the age above 80 years. NOway. Do not think about it.

I believe Sir George Kahama is one of the GREED Tanzanian since 50's, 60's todate. He is not dirrefent from the current FISADIS.

GOD BLESS TZ
 
this thread caught my attention as i was reading mambo ya SEACOM (SEACOM tanzania acting md AKR) naona ni watu wale wale..kweli nchi ya wenyewe hii!!
 
Back
Top Bottom