Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
George Kahama pamoja na akina Rupia ni moja kati ya ma UNTOUCHABLES bongo na wamekuwa immune for such a long time humu JF
Anyway kama mnavyojua kuwa yule bibie kwa jina la JILL amekuwa akiwaendesha puta maofisa wa Ikulu kutaka apewe special access to JK na kuna taarifa kuwa alifanikiwa kuipata namba ya JK ambayo hata mimi ninayo na mwanakijiji anayo vile vile hivyo siyo siri lakini JK amekuwa hataki kuwa involved moja kwa moja na mambo haya bila washauri wake kumwambia details zinaendaje.
Lakini kuna tatizo lingine ambalo limeibuka out of no where...
Mnavyojua akina KAHAMA walikuwa wako very prominent katika mining industry ya Bongo kwa kutumia influence yao na ndio walio wa-accomodate wale Wa-Canada in the 1990's
Kisha kuna kipindi wakawa wako close na hao GOODWORKS ambao kwa kweli credit anapea huyo Mchungaji Charles Stith.
I have managed to connect the dots na kujua kwanini JILL amekuwa halali ma jisimu isio na wakati maalum
SABABU NI HUYU BWANA:
Ana itwa BRENT SCOWCROFT na ni:
hebu soma hapa: http://www.scowcroft.com/index.htm
WEST POINT undergrad
COLUMBIA postgrad & PHD
MORMON
INTERNATIONAL RELATIONS SPECIALIST
NATIONAL SECURITY ADVOSOR to: current Bush and Ford,
Bila kusahau kazi yake nyingine alikuwa ni Chairman wa President's Foreign Intelligence Advisory Board ambayo katika mission statement yake inasema ni:
Personally nishawahi kumuona huyu mzee SCOWCROFT akizungumza katika duru za mambo ya Kimataifa lakini it never came to my mind kuwa atakuja kuwa prominent bongo kwani nilijua huyu ni mmoja kati ya wale ma architects wa vita kule Iraq.
In short jamaa ni beyond CIA na kampuni yake hii ambayo haina haja ya kupiga hodi kuingia IKULU ni manyoka watupu ambao wameletwa na mheshimiwa GEORGE KAHAMA na hilo ndilo tatizo kubwa linalomkosesha usingizi bwana ANDREW YOUNG ambaye alidhani anaweza kutumia charm na black brotherhood kupata access na kazi toka kwa JK. Sasa looks like CIA aka "THE COMPANY" are in town na access ya IKULU wanayo na sitoshngaa kama JK atakuwa hawapigii wao simu badala ya wao kumtafuta.
GEORGE KAHAMA kawaingiza Tanzania na washasaini mkataba kwa kutumia nafasi yake kama Advisor wa Tanzania Chamber of Energy &Minerals na vile vile kama member wa Tanzania National Business Council na post yake kama post of vice-president of the Tanzanian Royalty Exploration Corp ,
Kutokana na maelezo katika website yao, akina SCOWCROFT hawasemi mengi sana na inawezekana ikawa akina Kahama waliaambia wasifanye makosa kama akina GWI ambayo yameibua maswali mengi kuliko majibu.
Sasa hawa TANZANIA ROYALTY wamewanyima tenda akina Andy Young na wakaamua kuwapatia hawa akina SCOWCROFT GROUP ambayo ni ya mheshimiwa pichani hapo juu. Cha ajabu ni kuwa akina Andy Young walipata vijikazi kule Ghana kwa kumtumia Walter Kansteiner ambaye alikuwa ni Assistant Secretary for African Affairs and currently board member of Jean Raymond Boulle.
Sasa quick search yangu nimegundua kuwa hao Jean Raymond Boulle
Nikapata hili:
http://www.swtriallaw.com/att-werbner/jean-raymond-boulle.html
http://www.globeadvisor.com/servlet/ArticleNews/story/gam/20060508/RTAX08
POINTS OF INTEREST:
1) Hivi kama watu kama hawa wakishapata unprecedented access na ofisi yetu kubwa je sisi tutakuwa na la kusema wakitulazimisha mikataka mingine mibovu?
2) SCOWCROFT group kama kampuni haikatazwi lakini kutokana na nature ya kampuni yeyenyewe what makes you think our national security will not be compromised?
3) Ndio tunataka ma investors lakini at what price? And who will pay that price? Hivi Mheshimiwa MBUNGE kama GEORGE KAHAMA yuko tayari ku compromise our national security kwa sababu ya njaa yake what makes you think wafanyakazi wa chini watashindwa ku-leak mambo kwenye internet?
4) Role ya FOREIGN ni kui-advice serikali katika mambo haya japo TCCIA wanaweza wakawa hawana objection lakini hii inanifanya ni conclude yafuatayo:
a) RADHIA MSUYA ambaye ni mkuu wa kitengo cha NORTH AMERICA & EUROPE pale either alikuwa nawajua hawa lakini akaamua kukaa kimya au walipeleka assessment yake lakini wakaamua kumdharau
b) RASHID OTHMAN inawezekana alipeleka intelligence estimate ya hawa SCOWCROFT lakini IKULU waliamua ku overule kwa hiyo inawezekana hii ikawaondoa Usalama wa Taifa from this web
c) UBALOZI wetu DC someone is or is not doing his job properly na kama ulifanya then katika chain of command kuna walakini
d) BENARD MEMBE kama mtu niliyekuwa ninamtegemea angeweza kuweka hili wazi naye inaonekana amekuwa overruled na IKULU ambako in the wake of recent scandals kuanzia Jenereta la Richmond to Benki kuu wameprove kuwa ni ma incompetents na hawaji na majibu straight kwa walipa kodi na in other words they are out of touch with the reality on the ground.
5) Je nani anafanya vetting ya hizi kampuni zinazoingia Tanzania? Je KAHAMA kama mtu ambaye alikuwa serikalini kwa muda mrefu je anayo 'our national interest at heart' au kwake muhimu ni pesa tuu?
6) Tatizo siyo hizi kampuni bali ni web of secrecy ambazo zina-operate Tanzania and I have a belief kuwa hii inatokana na jinsi walivyo free kufanya walitakalo na serikali yetu inaonekana kuwa imejaa rushwa. Japo wanaona kuwa hawapati bad press internationally lakini this cannot last for long in my opinion
Last but not least washauri wa JK katika masuala ya UCHUMI ni wachemshaji wakubwa mno. Kila mtu anajua hakuna serious African American investor wa kuinvest Bongo kama wangekuwepo basi huyo MCHUNGAJI STITH angewaleta tangu mid 90's
Anyway kama mnavyojua kuwa yule bibie kwa jina la JILL amekuwa akiwaendesha puta maofisa wa Ikulu kutaka apewe special access to JK na kuna taarifa kuwa alifanikiwa kuipata namba ya JK ambayo hata mimi ninayo na mwanakijiji anayo vile vile hivyo siyo siri lakini JK amekuwa hataki kuwa involved moja kwa moja na mambo haya bila washauri wake kumwambia details zinaendaje.
Lakini kuna tatizo lingine ambalo limeibuka out of no where...
Mnavyojua akina KAHAMA walikuwa wako very prominent katika mining industry ya Bongo kwa kutumia influence yao na ndio walio wa-accomodate wale Wa-Canada in the 1990's
Kisha kuna kipindi wakawa wako close na hao GOODWORKS ambao kwa kweli credit anapea huyo Mchungaji Charles Stith.

I have managed to connect the dots na kujua kwanini JILL amekuwa halali ma jisimu isio na wakati maalum
SABABU NI HUYU BWANA:

Ana itwa BRENT SCOWCROFT na ni:
hebu soma hapa: http://www.scowcroft.com/index.htm
WEST POINT undergrad
COLUMBIA postgrad & PHD
MORMON
INTERNATIONAL RELATIONS SPECIALIST
NATIONAL SECURITY ADVOSOR to: current Bush and Ford,
Bila kusahau kazi yake nyingine alikuwa ni Chairman wa President's Foreign Intelligence Advisory Board ambayo katika mission statement yake inasema ni:
Kisha wanaendelea kusema:"...provides advice to the President concerning the quality and adequacy of intelligence collection, of analysis and estimates, of counterintelligence, and of other intelligence activities."
source: http://www.whitehouse.gov/pfiab/"The role of the board: [is] Unique within the government, the PFIAB traditionally has been tasked with providing the President with an independent source of advice on the effectiveness with which the intelligence community is meeting the nation's intelligence needs and the vigor and insight with which the community plans for the future."
Personally nishawahi kumuona huyu mzee SCOWCROFT akizungumza katika duru za mambo ya Kimataifa lakini it never came to my mind kuwa atakuja kuwa prominent bongo kwani nilijua huyu ni mmoja kati ya wale ma architects wa vita kule Iraq.
In short jamaa ni beyond CIA na kampuni yake hii ambayo haina haja ya kupiga hodi kuingia IKULU ni manyoka watupu ambao wameletwa na mheshimiwa GEORGE KAHAMA na hilo ndilo tatizo kubwa linalomkosesha usingizi bwana ANDREW YOUNG ambaye alidhani anaweza kutumia charm na black brotherhood kupata access na kazi toka kwa JK. Sasa looks like CIA aka "THE COMPANY" are in town na access ya IKULU wanayo na sitoshngaa kama JK atakuwa hawapigii wao simu badala ya wao kumtafuta.
GEORGE KAHAMA kawaingiza Tanzania na washasaini mkataba kwa kutumia nafasi yake kama Advisor wa Tanzania Chamber of Energy &Minerals na vile vile kama member wa Tanzania National Business Council na post yake kama post of vice-president of the Tanzanian Royalty Exploration Corp ,
Kutokana na maelezo katika website yao, akina SCOWCROFT hawasemi mengi sana na inawezekana ikawa akina Kahama waliaambia wasifanye makosa kama akina GWI ambayo yameibua maswali mengi kuliko majibu.
Sasa hawa TANZANIA ROYALTY wamewanyima tenda akina Andy Young na wakaamua kuwapatia hawa akina SCOWCROFT GROUP ambayo ni ya mheshimiwa pichani hapo juu. Cha ajabu ni kuwa akina Andy Young walipata vijikazi kule Ghana kwa kumtumia Walter Kansteiner ambaye alikuwa ni Assistant Secretary for African Affairs and currently board member of Jean Raymond Boulle.
Sasa quick search yangu nimegundua kuwa hao Jean Raymond Boulle
Nikapata hili:
http://www.swtriallaw.com/att-werbner/jean-raymond-boulle.html
http://www.globeadvisor.com/servlet/ArticleNews/story/gam/20060508/RTAX08
POINTS OF INTEREST:
1) Hivi kama watu kama hawa wakishapata unprecedented access na ofisi yetu kubwa je sisi tutakuwa na la kusema wakitulazimisha mikataka mingine mibovu?
2) SCOWCROFT group kama kampuni haikatazwi lakini kutokana na nature ya kampuni yeyenyewe what makes you think our national security will not be compromised?
3) Ndio tunataka ma investors lakini at what price? And who will pay that price? Hivi Mheshimiwa MBUNGE kama GEORGE KAHAMA yuko tayari ku compromise our national security kwa sababu ya njaa yake what makes you think wafanyakazi wa chini watashindwa ku-leak mambo kwenye internet?
4) Role ya FOREIGN ni kui-advice serikali katika mambo haya japo TCCIA wanaweza wakawa hawana objection lakini hii inanifanya ni conclude yafuatayo:
a) RADHIA MSUYA ambaye ni mkuu wa kitengo cha NORTH AMERICA & EUROPE pale either alikuwa nawajua hawa lakini akaamua kukaa kimya au walipeleka assessment yake lakini wakaamua kumdharau
b) RASHID OTHMAN inawezekana alipeleka intelligence estimate ya hawa SCOWCROFT lakini IKULU waliamua ku overule kwa hiyo inawezekana hii ikawaondoa Usalama wa Taifa from this web
c) UBALOZI wetu DC someone is or is not doing his job properly na kama ulifanya then katika chain of command kuna walakini
d) BENARD MEMBE kama mtu niliyekuwa ninamtegemea angeweza kuweka hili wazi naye inaonekana amekuwa overruled na IKULU ambako in the wake of recent scandals kuanzia Jenereta la Richmond to Benki kuu wameprove kuwa ni ma incompetents na hawaji na majibu straight kwa walipa kodi na in other words they are out of touch with the reality on the ground.
5) Je nani anafanya vetting ya hizi kampuni zinazoingia Tanzania? Je KAHAMA kama mtu ambaye alikuwa serikalini kwa muda mrefu je anayo 'our national interest at heart' au kwake muhimu ni pesa tuu?
6) Tatizo siyo hizi kampuni bali ni web of secrecy ambazo zina-operate Tanzania and I have a belief kuwa hii inatokana na jinsi walivyo free kufanya walitakalo na serikali yetu inaonekana kuwa imejaa rushwa. Japo wanaona kuwa hawapati bad press internationally lakini this cannot last for long in my opinion
Last but not least washauri wa JK katika masuala ya UCHUMI ni wachemshaji wakubwa mno. Kila mtu anajua hakuna serious African American investor wa kuinvest Bongo kama wangekuwepo basi huyo MCHUNGAJI STITH angewaleta tangu mid 90's