Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
This day limekua likandika habari za ufisadi kwa nguvu sana na ukizingatia hili ni gazeti la kiingereza na linasomwa na mabalozi wengi hususan balozi wa UK.
Limekua likichambua kwa kina rada na dr rashid...
na ukiangalia kicha cha habari kwenye internet unaona linampamba mwakyembe
Je wana mtandao wamelishidwa hili gazeti?
Hatima yake nini?
Au wanamuogopa mmiliki wake?
Au mmiliki wake ana nguvu sana hata ndani ya chama chao ana watu wake?
Au kwa ajili mabalozi wote wa nchi kubwa ni maswaiba wake? ie US, UK JAPAN n more?
Siri ni nini?
Limekua likichambua kwa kina rada na dr rashid...
na ukiangalia kicha cha habari kwenye internet unaona linampamba mwakyembe
Je wana mtandao wamelishidwa hili gazeti?
Hatima yake nini?
Au wanamuogopa mmiliki wake?
Au mmiliki wake ana nguvu sana hata ndani ya chama chao ana watu wake?
Au kwa ajili mabalozi wote wa nchi kubwa ni maswaiba wake? ie US, UK JAPAN n more?
Siri ni nini?