Je, G55 ndio Wale Nyoka ndani ya CHADEMA?

Je, G55 ndio Wale Nyoka ndani ya CHADEMA?

Hatari, nani angeweza kufikiri kuw Mbowe anaweza luwacadui wa CDM?
Lissu ameharibu mradi wa mabilioni wa FM.
Tuliaminishwa ni mfadhili wa chama kumbe yeye alikuwa mnufaika wa chama.

Kama alikuwa na nia njema iweje kundi lake liendelee kuvuruga chama na yeye yupo kimya?
 
Vyama vya upinzani Kuna vishoka wengi sana nani Kazi ngumu sana kuwa tambua,CDM ya Lisu,inapaswa kuwa na ujajusi hatari sana kwa manufaa ya chama na umma.
Ni rahisi sana kupandikiza majasusi ndani ya G55
 
Hatari, nani angeweza kufikiri kuw Mbowe anaweza luwacadui wa CDM?
Amewachukia kwa kumuondoa kwenye ulaji !! Chadema Ilikuwa saccos yake!
Si wanasema sasa anaendeleza biashara zake basi atulie huko huko badala ya kuwatumia wakina Mrema kuleta choko choko kwenye chama. Kuendelea kufanya hivyo kunaweza nae kumfukuzisha chama. Chadema ni taasisi na sio mali ya waamzilishi hivyo Mbowe asifikiri kuwa ukaribu wake na mzee Mtei unampa uhalali wa kuhujumu chama!
 
Inawezekana ukajipinga mwenyewe?!G55 wanayapinga mawazo waliyoshiriki kuyapitisha miaka 4 iliyopita!!

Naomba unitafsirie maana ya NO REFORMS NO ELECTION kwa lugha ya kiswahili hapo ndiyo utajua kwanini TUNDU LISSU tunamwita mwanasheria msomi
 
Back
Top Bottom